Habarini wapendwa,
Niende moja kwa moja kwenye mada mimi niniaminishwa kuwa kusoma kwa bidii na kufaulu vizuri sana moja kwa moja unafanikiwa ila jamani yote nimeyafanya ila mafanikio sasa duh.
Habari comrades,
Nina ndugu yangu anatatizo tajwa kwa muda. Wa miaka 7 sasa ametumia antibiotics na antifungal lakini hakuna nafuu kabisaaaa.
Naomba kufahamishwa kuhusu risk factors, causes, investigations and Rx
Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
Sorry naomba kujua matoleo ya Toyota Alphard na changamoto zake....na je kati ya Toyota ALPHARD na Toyota crown ipi gari nzuri sana kwa mtu wa kipato cha kati.
Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
Hello ladies and gentlemen,
Katika maisha ya shule kuna visa na mikasa mingi sana tupe kisa chako.
Changu mimi ni;
Kuna siku tulichelewa kurudi shule kulikuwa na ile ratiba ya unatoka shule saa sita then unarudi saa saba kasoro. Sasa mimi nilipoenda home bi mkubwa ndio kwanza anabandika mboga...
Hello
Samahani mwenye kujua jinsi gani naweza kupata selection za form one kwa wanafunzi waliomaliza std 7 mwaka 2023.
Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.