Habari... Nimependa kuuliza kuwa Wahitimu walio maliza 2015 na 16 katika vyuo vya ualimu wataajiriwa link?? Maana serikali yetu haina tamko maalumu,, hivyo mwenye uelewa sahihi tufafanulie kwa uzur jamani.
Thank you
habari zenu, mimi nikijana wa kitanzania nina umri wa miaka 23. Nahitaji binti wa kiislam wa kuwa nae na mungu akijaalia nimuoe. Awe na miaka 20-23 awe asiwe kibonge lakini. Namba yangu 0768325632. Thank you
Jina naitwa jeffa Chibah nina miaka 22 natokea kibaha ni mwanachuo kampala univecity nahitaji mpenzi jamani awe na miaka mwisho 22 na awe anajitambua.
Namba yangu 0752832215
Naitwa jaffer chiba ni mwanachuo ktk chuo wa ualimu ninahitaji mpenzi wa kuwa nae awe na umri wa miaka 18 mpaka 22 akiwa tayari utanipata 0758082840.
Thanx
Habari zenu,, naitwa jayffa ni msanii wabongo flaver!! Nahitaji mtu atakaye weza kunipa support ili niweze kuinuka kimuzki unaweza kunipata 0758082840 ili tuweze kusaidian
Naomba msaada wa kujua mambo muhimu katika kuimba,vitu gan nahitajika kuwa navyo na mengine muhimu...0758082840 unaweza kunipata whatsapp kwa ushirikiano zaid
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.