Je wajua kwa serikari ya Kikwete milioni mia saba(700 million) zimetumika kutengenezea matundu 8 ya choo cha shule ya msingi? Na ni jumla ya shilingi Bilion 3.2 zimetumika kwa mradi huo kwa manispaa ya Bagamoyo? Ni jimbo la Bgamoyo atokapo kikwete, Alafu wanasimama vifua mbele wakisema elimu...
Kwa kiasi fulani nimefuatilia ziara zinazoitwa za kampeni za Kikwete. Kinachonishangaza ni jinsi anavyotumia mamlaka yake kushawishi watanzania wampigie kura.
Akiwa Bukoba aliagiza ununuzi wa meli.
Kilosa ujenzi wa nyumba za waathirika wa mafuriko ambao alishawahi kwenda kuwaona lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.