Nikwamba Hii mashine ilifanyiwa formating, ila Drivers za Tablet PC ndiyo hakuna yani tuliweka WnXP na Drivers zote zimerudi kama za sound, wireless, kasoro hiyo Tablet PC Ndungu,
Nikwamba Hii mashine ilifanyiwa formating, ila Drivers za Tablet PC ndiyo hakuna yani tuliweka WnXP na Drivers zote zimerudi kama za sound, wireless, kasoro hiyo Tablet PC Ndungu,
Ndugu,Naombeni msaada wakulekebisha PC, hii PC ni Tablet PC ila haifanyikazi kama Tablet PC inavyotakiwa kufanya Kwa Mfano Kalamu yake haiandiki,screen uki rotating haibadiliki. naombeni msaada nifanyeje
Okey eliah
Ila kama ulinifahamu nilikuwa naomba msaada wakutengeneza na pia kujuwa nitengeneze table ngapi na requirements ni matokeo ya mitihani ndiyo cha zaidi, ila nimeanza nitakutumia ili unipe msaada zaidi na kuifanyia malekebisho pale utakapoona.
nashukuru kwamsaada wako.
gud day bro
nasikia kuna mchina kaja juzi anataka kuwekeza analeta ndege 15,ila mashaliti apwe mgodi, kwahiyo selikari wanatafuta mgodi wa kumpa. na atapewa kama Clinton kapewa mtwara na juzi kaja kaenda mpaka mtwara. Kipindi cha mwalimu haya ya kutoa migodi yayakuwepo watauzakila kona ya nchi.
Sawa Bro, hapo nimekupata sawsawa, kweri swali lilikuwa ambiguity. sasa mimi nilikuwa nimeandaa table nne 1Class, 2Student, 3Teachers, 4Employee, Riport ninayotaka itowe ni kwa mfano students itowe riport ya mitihani,nk yani full doc za muhimukwa mwanafunzi.
Wazee,habari
Naombeni mnipe msaada wakunisaidia kutengeneza system ya shule kwani nimepewa assignment chuo nakazi inakuwa ngumu sasa. Ni simple Databese tu ndiyo inayotakiwa.
kama mtakuwa nayo attach katika mail hii lutagwabajohn@yahoo.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.