Msaada Jamani

Lutajoan

Member
Jul 1, 2010
11
0
Ndugu,Naombeni msaada wakulekebisha PC, hii PC ni Tablet PC ila haifanyikazi kama Tablet PC inavyotakiwa kufanya Kwa Mfano Kalamu yake haiandiki,screen uki rotating haibadiliki. naombeni msaada nifanyeje
 
Ndugu,Naombeni msaada wakulekebisha PC, hii PC ni Tablet PC ila haifanyikazi kama Tablet PC inavyotakiwa kufanya Kwa Mfano Kalamu yake haiandiki,screen uki rotating haibadiliki. naombeni msaada nifanyeje
Hapa kuna wataalam wengi, nina imani ukieleza vizuri mgonjwa na ugonjwa utapata solution, kwa mfano ni brand gani, ina OS gani.............
 
Nikwamba Hii mashine ilifanyiwa formating, ila Drivers za Tablet PC ndiyo hakuna yani tuliweka WnXP na Drivers zote zimerudi kama za sound, wireless, kasoro hiyo Tablet PC Ndungu,
 
Nikwamba Hii mashine ilifanyiwa formating, ila Drivers za Tablet PC ndiyo hakuna yani tuliweka WnXP na Drivers zote zimerudi kama za sound, wireless, kasoro hiyo Tablet PC Ndungu,
 
Nikwamba Hii mashine ilifanyiwa formating, ila Drivers za Tablet PC ndiyo hakuna yani tuliweka WnXP na Drivers zote zimerudi kama za sound, wireless, kasoro hiyo Tablet PC Ndungu,

Weka brand ya hiyo PC, yaani DELL, TOSHIBA, ASUS..........na model yake (au inawezekana inaitwa Tablet PC tu!!!! labda mm ndy skusomi) hiyo itasaidia mtu akupe link, au unaweza kuingia kwenye website ya huyo maker, au hata jaribu ku-google.
 
Google: "Jina na model number ya hiyo kitu + drivers" utapata drivers unazohitaji, unless ni hizi brandless za mchina kupata drivers utakoma.
 
Mkuu hiyo tablet ya kichina nini? Otherwise, kama specifications zake zinaruhusi, weka Windows 7 as ina support nzuri zaidi ya tablets.
 
Weka brand ya hiyo PC, yaani DELL, TOSHIBA, ASUS..........na model yake (au inawezekana inaitwa Tablet PC tu!!!! labda mm ndy skusomi) hiyo itasaidia mtu akupe link, au unaweza kuingia kwenye website ya huyo maker, au hata jaribu ku-google.


Kaka hii Toshiba Tecra M7 Tablet PC
 
Ndugu,Naombeni msaada wakulekebisha PC, hii PC ni Tablet PC ila haifanyikazi kama Tablet PC inavyotakiwa kufanya Kwa Mfano Kalamu yake haiandiki,screen uki rotating haibadiliki. naombeni msaada nifanyeje

Mkuu,

Kama hip laptop yako inayo recover disk basi ifanyie reformat ili irudi katika hali yake kama ilivyokuwa mpya. Kabla ya process hio hakikisha umefanya backup na ndipo uendelee na reformat.

Iwapo huna recovery disk basi kutakuwa na problem.
 
Unclear problem will alway get unlear solution. Watu wanajitahidi kutoa solution lakini ungesaidia sana kwa kuwa clean na specific kwa tatizo lako ingekusadia wewe hata wanaokupa solution.Usielezee tatizo kama unaelezea kwa mtu aliye karibu na anaweza kusihika hiyo mashine.

Otheriwise
Nenda website ya offficial ya Toshiba. Toshiba Support - Homepage
Kwenye hiyo site chagua laptop family chagua Tecra na model chagua M7 kama ulivyosema

Hapo kuna list ya official driver zote za model yako kwa Operating system zote za windows.

Ikishindikana kwa kutumia U sheikh yahya then tatizo inaweza kuwa ni Touch screen na sensor yake zina tatizo. As a toch screenn is so delicate.I mean ni hardware problem na si software.Uliwai kuidondosha? Tafuta PC doctor wa kaminika.
 
Back
Top Bottom