Hali hii ya mgandamizo, yaani unakuwa mzito, wasiwasi mwingi, maswali mengi, unajiuliza hivi nikiondolewa hapa nitaenda wapi?
Mtu anafanya kazi mahali fulani ila haoni kabisa kitu kingine cha kufanya kwenye maisha yake isipokuwa hiyo kazi anayoifanya.
Nikiwa na maana ofisi aliopo, haoni kitu...
Moja ya kitu ambacho hupaswi kukiruhusu ni siku yako kupita bila kusoma biblia yako na kutafakari.
Tumekuandalia kundi zuri la wasap la kusoma biblia kila siku na kutafakari, sio hivyo tu, unapata ufafanuzi au uchambuzi wa sura moja ya biblia kila siku.
Hii inakusaidia kuelewa kwa usahihi kile...
Maisha ya Sasa kuna vitu ukifanya kwa usiri utaonekana umekula au umeiba, Wakati mwingine watu waliotoa misaada yao wanahitaji kuona imewafikia walengwa. Tusiwalaumu sana wanaopigwa picha na kueleza hadharani.
Kum 24:14-15 SUV
[14] Usimwonee mtumishi mwenye ujira aliye maskini na uhitaji, kama ni wa nduguzo, au kama ni wageni wako mmojawapo walio katika nchi yako, ndani ya malango yako; [15] mpe ujira wake kwa siku yake, wala jua lisichwe juu yake; kwa maana ni maskini, moyo wake umeutumainia...
Tunapaswa kuwa makini sana katika eneo hili, kuna watu badala uwabadilishe wewe ili wamwamini Kristo, wanakubadilisha wewe uliyekuwa umeamini na kuishi maisha yanayompendeza Mungu.
Kujenga Mahusiano mazuri na wale ambao hawajamwamini Kristo ni vizuri sana, ila tunapaswa kuwa makini sana.
Kum 16:19 SUV
[19] Usipotoe maamuzi; wala usipendelee uso wa mtu; wala usitwae rushwa; kwa kuwa rushwa hupofusha macho ya wenye akili, na kugeuza daawa ya wenye haki.
Agizo hili la kukatazwa kupokea rushwa walipewa maakida na waamuzi wa Israeli, waliagizwa wasipokee rushwa, maana rushwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.