Hili li ARIS la chuo kikuu Mzumbe linaboa sana. MaFR wametuma taarifa za kuwekwa kwa matokeo tangu wiki iliyopita lakin mpaka sasa hakuna chochote. Na taarifa ya kua matokeo sio mazuri hasa kwa 1st Yeah ndio zimezagaa. S mtujulishe kama tumedisco tujue 1.
Ni takrribani miaka 7 ilipopita nlipoanza kujichua almaarufu kama "Punyeto" mpaka sasa sioni dalili za kuachana na hili janga. Naombeni ushauri wana JF.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.