Escrow fisaid ni nani coz lowasa hakuwa madarakani.ujue kuwa fisadi wa richmond ndo huyo huyo ndo maadna hata miaka 8 daada ya el kujiuzuru ufisadi haukukoma.
nadhani chama cha majambazi bado kina wazee japo wachache wenye akili zao nzuri si km kingunge ambao hawatakula matapishi kwa kulipendekeza gamba gumu zaidi ya lile la mamba kuwa mgombea wao.
chama cha kifisadi kinawezaje kumuengua fisadi mkuu,au unadhani bao la mkono atafunga nan km siyo lowasa na mihera ya watanzania aliyopiga,na kwa kuwa wa tz wengi ni masikini wa uelewa wanandhani huyo ndo mtu safi leo hadi kufikia hatua ya kumfananisha na mtume!!!!!!??????tunakwenda wapi jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.