Nina laptop aina ya toshiba na nilikuta window 7 mimi nikabadili kuweka xp ,sasa chaajabu kila nikijaribu naona zinajaa window tu badala ya ku delete za zamani ,zina zidi kuwa nyingi zipo mbili sasa
Naombeni msaada ntazifuta vipi ili ibaki moja window xp zisiwe mbili
Ahsanteni
Samahani wana jamvi,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 21, nipo na mpenzi wangu kwa mda wa miaka mitatu sasa tulianza mahusiano tangu tupo o-level, kiukwel nampenda, mnamo mwezi ulopita alinibadilikia ghafla.
Nilijitahidi kumuuliza kwa kutumia simu ya rafiki yangu kwani laini zangu...
Nina mpenzi wangu ambaye simuelewi, maranying huwa nasuruhisha matatizo pindi yanapo tokea, ila nashindwa kufahamu hadi naamuwa kukaa kimya wakati fulani ananitafuta kuanza kulalamika nashindwa kumuelewa nikimuuliza jibu lake nipo kawaida mpenzi wangu sina tatizo.
Naombeni ushauri juu ya...
Nipo kimahusiano na binti mmoja mwaka wa3 sasa, kiukweli tunapendana bila matatizo,Tatizo nikwamba kuliwah tokea utata flani hali ilo pelekea wazazi kuchukizwa na sikuwa pamoja.
Mwezi ulikatika kama unavyo jua mapenzi kama mnapenda tukajikuta tumesamehe yana tukawa kitu kimoja nilimtengenezea...
Don't take a woman for granted if she is giving you too much attention. Just consider yourself lucky because maybe she loves you so much that she doesn' t want anyone else to take her place in your life. If she cries for you don't think she is weak but consider yourself lucky that she thinks you...
Kuna mdada anakaribia mwezi wa tatu ajaona siku zake kaenda kucheki ujauzito hana yani matatizo tumbo lina muuma chini ya mbavu za kushoto.
Anahisi kukojoa mara kwa mara,pia amekuwa mnene.
Kuna friend wangu ambaye yupo kimahusiano na shemu wangu, wamedumu kwa mda mrefu ila ndoto yao mwaka ujao ilikuwa rasmi wafunge ndoa,tatizo nikwamba rafiki yangu alihisi kuwa mpenzi wake ana msaliti, akaenda kwa jamaa hakuongea kitu alimpigia simu shemu wangu (mpenzi wangu kwa nini haukuniambia...
Naombeni ushauri marafiki zangu ndani ya JF,
Nina mpenzi wangu ambaye mwanzoni tulipendana sana, nilikuwa namtoa na kumpa kile akipendacho. Nipo nae kwa mda wa mwaka na nusu sasa hakika nampenda sana na yapata miezi ya hivi karibuni ameanza kusumbua mara hapatikani mara usiku anatumika sa 5-7 ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.