Search results

  1. J

    Mange Kimambi kuangusha uongozi wa BAKWATA?

    Hali ikiendelea kwa speed ambayo inaendelea na hizi tuhuma nzito ambazo zingine zilishawahi kutolewa dhidi ya Sheikh Mkuu wa BAKWATA wa Mkoa wa Dar, then sioni kwa nini Paul Makonda's favourite sheikh abaki ndani ya ya NGO ya BAKWATA. Miaka michache iliyopita tuhuma dhidi ya Alhadi Mussa...
  2. J

    Anatomy of incompetence: Kigwangalla vs Lukuvi, Makonda vs Lukuvi, Ummy Mwalimu vs Magufuli etc..

    Dodoma is probably one of the most depressing places on Earth at the moment. The only people in a good mood are swivel-eyed with access to Lithuli and fever-brained mates of Dar es Salaam RC. Everybody else is miserable: frustrated by the intellectual vacuum at the heart of the government and...
  3. J

    Agribusiness in Tanzania

    Hapa siongelei kilimo cha eka mbili tatu hapa nazungumzia kilimo cha kufa mtu kama wanavyofanya USA, Australia na nchi zinginezo Swali Kwa nini wafanya biashara wakubwa kama akina Mohammed Enterprises na Bakhressa hawakujikita vilivyo kwenye kilimo hichi ? Mo Enterprises naona wao ni wanunuzi...
  4. J

    Ardhi kujenga Univesrity

    Nina jamaa wanataka kuja kujenga chuo kikuu kikubwa kama vile UD or something similar Je upatikanaji wa ardhi ukoje? Je serikali au wilaya zinaweza zikawa na ardhi ambazo zimetengwa kwa jili hii? Je ardhi itabidi kununua au serikali ilishatenga maeneo kwa ajili hiyo (land banks) kwenye kila...
  5. J

    Gharama za kujenga barabara Tanzania

    Hivi kuna mtu anajua gharama za kujenga barabra Tanzania kwa kila kilometa moja? Naomba figures in Dollars tuseme barabara ni tambarare na kama kutakuwa na jidiraja bas ni viduchu tuuu na barabara ni kilometa 50
  6. J

    Uwakala wa Dangote Cement

    Nina tenda ya kusupply cementi kwenda nchi jirani sasa sijakubali kitu na hawa jamaa mpaka nifanye research yangu je bei za cement brand gani ni nzuri na ina bei ya afadhali hapa Tanzania Je process ya kupata uwakala au u superdealership ukoje na masharti yake je? Je ipi bora kati ya kununua...
  7. J

    Zitto: Wabunge wa Tanzania ni wala rushwa, hawana maadili & mafisadi

    Zitto bado anaendelea kuwa kama mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wa chuo. He's too idealistic na cha ajabu anataka transparency wakati kamati yake haitaki kuweka wazi ripoti zake kwenye mtandao na tukazisoma. Kila kitu ni siri sasa iweje leo anataka transparency na accountability toka kwa wenzake...
  8. J

    Tunu Pinda: The potential future first lady of Tanzania

    Wiki hii nitaanza na mfululuzo wa profiles mbali mbali za wake wa wagombea urais na wiki hii ni zamu ya Tunu Pinda abaye mumewe ndugu Pinda alitangaza rasmi kuwa atagombea urais na sasa baada ya ku kaa kwenye side lines Bibi Pinda kaamua kujiweka kwenye spotlight kumsupport mumewe. Sasa Je Tunu...
  9. J

    Fitna ya NGO za Tanzania na Maendeleo ya nchi

    NGO za kenya kwa kushirikiana na za hapa na zingine za nchi za magharibi zimetupigia kelele weeeee eti tusijenge barabara serengeti. Mind you hizo ndio zile zile ambazo ziko kimpya kuhusu uharibifu wa mazingira maeneo mengi tuu hapa Tanzania Lakini serikali yao imeamua kujenga relii na barabara...
  10. J

    Mwana DIASPORA Juma Pinto aula bodi ya Utaliii

    According to Mwana JF aka GREAT THINKER aka INDEPENDENT THINKER mwenzetu bwana KIBANGA AMPINGA MKOLONI, Mwana DIASPORA kwa jina la Juma Pinto ambaye ni mfano bora na wa kuigwa na wanadiaspora wengine ameteuliwa kuingia kwenye bodi ya Ngorongoro (ndio hiyo hiyo ya Utaliii zote humo humo)...
  11. J

    VIDEO: Uhuru Kenyatta alipokutana na Wakenya V/S Kikwete alipokutana na watanzania

    Kikwete akikutana na wa Tanzania mambo huwa hivi: Meza za juu anakuwa na yule dada wa TIC Balozi wa nchi alikokwenda Viongozi wa watanzania huko alikokwenda Hotuba zake huanza na UTANI na maneno ya REJAJEJA na hususan ya kiswahili tena cha kariakoo (huu uchawi wake mkubwa hata mkiwa na hasira...
  12. J

    Majina ya wasaliti toka Zanzibar yatajwa

    HAWA WATAKUMBUKWA KUHUSU HATMA YA ZANZIBAR Written by Zdaima // 24/09/2014 // Habari // Maoni 15 Kwa mikono yao watu hawa wameshiriki ama kuididimiza Zanzibar au kuiinua katika katiba mpya. lililobaki tunasubiri majaliwa.Historia itahukumu. Naomba licha ya msuguano uliopo kuhusu uhalali...
  13. J

    Kwanini Oman wamewatosa Wazanzibari?

    Niko hapa Unguja lakini kila ninayezungumza naye anapenda kujinasabisha na wa Oman kwa kila namna kwa kiasi nilidhani ni mambo ya SLAVE MENTALITY SYNDROME maana sijakutana na mzanzibari (including ndugu zangu) hapa ambao wako proud na uAfrica wao. N akinachonishangaza historia ya hapa inakuwa...
  14. J

    JWTZ wafuata mfano wa IKULU: Wanatumia e-mail ya YAHOO.COM

    E-mail contacts za jeshi letu la wananchi ni za yahoo. Nadhani hu utakuwa ni mwongozo wa UTUMISHI kuwa idara zote nyeti za serikali ya Tanzania zitumie e-mail ya bure ya yahoo. Hili ndio jeshi letu kisasa la bwana MWAMUNYANGE btw ni miaka 50 TOKA TUMEPATA UHURU lakini mediocrity kila...
  15. J

    Serikali yadaiwa kuwadhulumu wanajeshi JWTZ bilioni 4!

    serikali ya nchi hii ya ajabu sana. Mkuu wa nchi ni mwanajeshi ina maana hajui umuhimu wahawa jamaa au? Mbona wale wahindi wanaopewa tenda za kununua vifaa vya kivita JWTZ wanalipwa ontime? Tanzania soldiers demand $3m from govt for covert Congo operation By ERIC KABENDERA, The EastAfrican...
  16. J

    Gavana Benno Ndullu ajiuzulu na bodi nzima ya BOT

    Dar linked Bank to Italian mafia dirty moneyScandal Kuna habari zimevija kwenye kuwa Gavana wa Benki Kuu Ndugu Beno Ndullu pamoja na Bodi nzima ya BOT wamejiuzulu. Ndullu amepeleka barua rasmi kwa Rais Kikwete na copy kwa waziri Saada Mkuya. Sababu aliyoelezea ni kuwa nafasi yake imekuwa...
  17. J

    Civil War Diaspora USA

    JK alisema Disapora hawana jipya sasa badala ya kuungana wameanza civil war MATUKIO-MICHUZI: I DESERVE BETTER THAN THIS, MUOGOPENI MUNGU KAMPENI ZA NAMNA HII HAZITUFAI - IDD SANDALY kwa mpango huu tutafika?
  18. J

    Bakhressa apewe uwaziri

    kwa nini wasimpe uwaziri tujue moja?
  19. J

    How Sh187bn tender led to NEC-NIDA row

    Dar es Salaam. The single sourcing of a company that was awarded a $117.18 million (over Sh187 billion) tender for voter registration kits triggered the falling out between the National Electoral Commission (NEC) and the National Identification Agency (Nida), it has emerged. Investigations by...
Back
Top Bottom