Napenda zaidi nitumie njia za asili za kuhesabu kalenda ila kuna kipindi nasahau nihesabu vip; naomba msaada wa jinsi ya kuhesabu kalenda ; ila huwa menstrual yangu iko irregular
Mdogo wangu kamaliza mwaka huu form six hajachaguliwa bado kwnd jeshini hvy anajipanga na chuo; amesomea PGM ; nataka kujuzwa chuo wanaanza lini process za admission? Na je mambo ya mkopo yakoje kama atataka kusoma nje? Kwan anapenda kusomea urubani ila ikitokea hajachaguliwa kwny hyo faculty je...
Hodi hodi wana jf; mimi ni mgen ndo kwanza mbichi sijawah hata ckumoja ila kuna mwanaume alining'ang'aniza sana kuniingiza nikawa na kataa ila jana kafanikiwa kuniingiza jf kumbe kutamu eeh; je naupataje utamu wa wana jf humu? Nataka waniingize nami niivee niwe senior; asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.