Heshima wana JF,nataka kufuga kuku wa kisasa lakini sehemu nayotaka kwenda kufugia umeme haujafika bado naombeni njia nyengine ya kusolve tatizo la umeme.
Hi wapendwa wana JF mi nina shamba la ekali 16 nje kidogo ya jiji(Dar) nataka kufuga kuku na nguruwe but sina pesa ya kuanzia mradi huo.naomba mawazo yenu nifanyeje niweze kutoka katika maisha aya magumu.
Muungano wa Tanganyika na zanzibar ni wa Viongozi si wanainchi wa kawaida.CDM wanaangalia mwanainchi wanataka nini,muungano unakosa thamani kwa kuwa haujashilikisha wanainchi wa kada zote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.