Teh! Hiyo ya kupuliza na pafyumu naona ndo kuharibu kabisa, uke ukiwa safi, hakuna fangasi wala maambuki yoyote. ..harufi yake ya asili inaraha yake....kitu asilia...sijui kwa anayezama chumvini akakutana na harufu ya pafyumu inakuwaje mie naona ni kujichanganya na kusaka maradhi mengine
Zile zinatoka zenyewe, kikubwa ni kujisafi tu kwa nje, maana hata ukisema upeleke kidole naamini hakifikii urefu wa dushee ambalo ndo linazitema...kwa hiyo kidole hakifiki popote. Mbegu zitakazokuwa zimebaki njiani zitatoka zenyewe...huo ndo uelewa wangu, ila wataalamu wa afya pia waweza...
Pole mkuu. Hongera pia kwa kutambua kuwa hali yako hiyo ni shida, hiyo ni hatua nzuri, kifuatacho dhamiria kutoka ndani ya moyo wako kwa dhati kuacha pombe, halafu muombe Mungu akushindie, hakuna lisilowezekana. Kila la heri mkuu
Pole boby. Hiyo nayo ni changamoto ya aina yake. Nahisi unahitaji ujipe muda, ni bora usogeze muda wa kuoa ili upate tafakuri njema zaidi. Ukikosea katika kuoa/kuolewa imekula kwako mkuu, labda huko ughaibuni kama kuna ndoa za mkataba. Tulia Mungu akuongoze
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.