Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,412
- 119,143
naona hao ndo wanaosubiri ijioshe yenyewe
hivi ule utoko unaweza kutoka wote kabisa bila kidole kuhusika??
kwa kweli hapa kuna watu wanataka wenzao tuachike ndoani mmmh
Hujambo my daughter
naona hao ndo wanaosubiri ijioshe yenyewe
hivi ule utoko unaweza kutoka wote kabisa bila kidole kuhusika??
kwa kweli hapa kuna watu wanataka wenzao tuachike ndoani mmmh
Hilo nalo neno wapimaji mikono iwe safi...ivi niulize wale wadada walio na mikucha mirefu na rangi juu wanaosheje kwa bibi
Shaft iko smooth na iko blunted mbele. Haina madhara. Pili shaft haiondoi ule utelezi ambao ni protective.
kinachoharibu usafi ni mashavu (labia). Zikioshwa gently na kitaulo na sabuni nanihii inanukia harufu yake nachurale. Hii mambo ya kusugua jicho (ile ni mucous membrane), ndo linatoa machozi sawia. Mwisho mnalalama ooh maji, ooh harufu!
Eheeee namba moja hyo apo juzi tu kwenye thread moja hapa nliona wadau kadhaa wanasupport kuweka vidole kwente K,now you know....
Kwenye research assistants hapo muweke lara 1 please.
Ngoja niweke title sawasawa:
Traditional methods of vaginal cleansing: The experience and prevalence of odor and opportunistic infections
@kiranga njoo ubrush title hapa (achana na content, haikuhusu).
OLESAIDIMU, nataka tuangalie traditional methods kwa sababu scientifically it has been proved kwamba kujiswafi ndani kunasababisha maambukizi ya magonjwa. na mie nakuhakikishia, anebisha ajaribu ama amuambie mwenza wake ajaribu for a month tuuuu, safisha kwa kitaulo (sio madodoki ya kichina) katikati ya mapaja, na mashavuni kote kwa maji na sabuni. kisha kausha tu. halafu uone scent yake :smile-big::smile-big::smile-big:
ondoka kwenye comfort zone yako ujaribu maisha kwenye angle mpya
Hujambo my daughter
sijambo mummy
nimeona nipite humu nijifunze nisije nikakutia aibu bure siku utakayompata mkwe
Sawa...na akili za kupewa changanya na zako
Caution to every Woman:
From a medical perspective. Please if you have ears, LISTEN:
1. DO NOT TOUCH: that means do not clean your vagina by inserting your fingers or soap or anything else. THE VAGINA IS SELF CLEANING, IT DOES NOT NEED YOUR HELP, LEAVE IT ALONE. Douching can change the acidity and bacterial makeup of the vagina, causing infections, which may spread to the uterus, fallopian tubes, and ovaries. It has been associated with bacterial vaginosis, yeast infections, pelvic inflammatory disease, and adverse events in pregnancy. Ladies, theres no need to douche or apply products internally. You can keep your vagina healthy by simply washing of the vulva (outside) with water during your daily shower or bath. Even if you had sex, or just finished your pees, there is NO need to wash inside, you are damaging yourself.
2. DO NOT USE MADURA STICK OR TUMABWE OR HERBS TO TIGHTEN YOUR VAGINA: Your vagina is a muscle, no amount of sticks or stones or herbs will tighten it. The best you can do to a muscle to work it, please try kegel exercise. You can do this exercise anywhere at any time. Do you know why you think your vagina is tighter after using the sticks or herbs etc? It is because they suck out the moisture from inside and make your vagina to swell, therefore becoming smaller and you think you are tight. You are not, you are simply swollen and having sex while swollen will increase your chances of bruising, infection and other health consequences. STOP INSERTING THINGS IN YOUR VAGINA, LEAVE IT ALONE. Also stop putting vinegar or ice cubes in your vagina.
3. STOP ABUSING FLAGYL TO MAKE YOUR BODY BECOME WARM; Flagyl is an antibiotic, which should only be used when prescribed by a doctor. Abusing it will only make you resistant to it and by the time you are really sick and need it, it will be useless. You are making yourself vulnerable to infections. STOP IT.
4. NO MAN IS WORTH DYING FOR JUST TO PLEASE HIM: Please if you have time take a walk to the cancer ward at UTH, after that visit trust me you will not come here asking for Madura sticks or what to put in your vagina. No man is worth putting your life at risk for. DO YOU KNOW THAT WHEN YOU DIE OF CANCER, WHILE THEY ARE BURYING YOU, HE WILL BE TEXTING HIS GIRLFRIEND THAT, I WILL BE THERE IN 30 MINUTES WE ARE JUST BODY VIEWING!!!! STOP RISKING YOUR LIVES TO PLEASE MEN
I REST MY CASE, if you have ears listen.
Forward this to every Woman that you care about
naomba majibu unajua kuna tofauti ya bacteria za kulinda uchi na zile za utoko?
pili unajua kuna utoko wa mchana na usiku
my dia uchi lazima uoshwe tna kwa maji safi na salama....osha mikono yako kwa maji vuguvugu tumia sabuni or detto kausha mikono yako..anza zoezi la kuosha papuchi taratibu cos haihitaji fujo wala haraka,osha kwa maji tu USITUME sabni or kitu chochote chenye chemical then futa na taulo safi,
Bacteria wa mchana ni muhimu cos wanalinda uke huruhusiwi kuosha ila wa usiku lazima uoshe cos ni uchafu
fangasi utapata kama unaosha bcteria wa mchana wanaolinda na hutumii maji safi na mikono safi na wale ambao wanatumia sabuni
je ushawahi kusikia malalamiko ya wanaume juu ya wanawake wanaotoa uchafu wenye harufu na vitu vyeupe kama mziwa mgando?je ni vitu gani hivyo?
usafi wa uchi kwa mwanamke ni muhimu hakuna cha kujiswafi automatic hizi ni mannual mama lazima mkono safi utumike
Andika kwa kiswahili. Wengi hawaelewi hii lugha yako.
You are welcome Rosemary Kisanga