Search results

  1. G

    Mchakachuo hadi kura za wananchi

    Nilitarajia uchakachuaji lazima ufanyike na ndo kilichotokea...ni matarajio yangu pia kura za wananchi zitachakachuliwa pia lkn tujitokeze kwa wingi ili washindwe....lkn hata wakichakachua msikate tamaa ndo safari ya demokrasia ni gharama wadau....ulimwengu mzima umeelewa kuwa ccm na mburula...
  2. G

    Rasimu

    Inasemekana kuwa leo usiku kucha ccm ilihaha kwa mbinu mbalimbali ili kubadili msimamo wa wajumbe walopiga kura ya hapana...mchuano ni mkali kwani wajumbe waulizwa wanakumbuka yaliyo mkuta ulimboka,kolimba,mwangosi,dr mvungi na wengineo?ngoja tuone.
  3. G

    Chadema imara maradufu

    Kadri adui zitto alivyoshindwa kutetea wananchi ktk mikataba ya madini na kushindwa kutaja wamiliki wa account za uswizi kutokana na umamluki wake ndivyo chama kinavyoimarika zaidi.....nafikiri mfa maji haachi kutapatapa km yona na wenzie walifukuzwa siku nyingi lkn wanajikomba....kwa kifupi...
  4. G

    Serikali tatu

    Maoni haya ya wananchi yaweza boreshwa kwa kusema kuwa serikali tatu inaweza pita alimradi imepigiwa kura na theluthi mbili ya wananchi....na sio kuleta swala la serikali mbili ktk rasimu ambayo ni kinyume na matakwa ya wananchi.
  5. G

    Rasimu ya katiba

    Wadau wasema Rais ameivuruga nchi kwa kuzarau tume na maoni ya wananchi,ndiye aliyelivuruga bunge maalumu la katiba,ndiye aliyesababisha sintofahamu hivyo ni mh kikwete mwenyewe aombe radhi kwa hilo ili kuleta suluhu pia awaase wabunge kuboresha maoni ya wananchi na si kuyabadili au kuyaondoa.
  6. G

    Umaskini kuongezeka

    Utafiti unaonyesha kuwa mfumuko wa bei umefikia zaidi ya 6% kwa kuwa ccm inapoteza muda mwingi kuwadhibiti wapinzani,na hasa wanaosema ukweli zidi ya uozo wa upotevu wa raslimali za nchi kwa wageni na ufujaji wa mali uma.
  7. G

    Elimu

    Hivi hii elimu inavyochezewa kwa kiasi hiki vijana wetu watapata kazi nchi za nje hasa hizi shule za akina kabwela?au ni kwa manufaa ya wtt wa wakubwa tu?huku akina kayumba wakizagaa mtaani tu?hebu tujifikirishe jamani!tusisheherekee tu,kumbe ni sherehe ya kunguru,sie panzi twaumia.
Back
Top Bottom