Wana jf ,habarini za asubuhi,Jana walinipitia vibaka wakanikwapua simu mbili,ikiwemo ipad moja ambayo ni android,mwenye utaalamu wa namna ya kuitress tafadhali
Rais amefanya mabadiliko ya wakuu wa Wilaya, sasa ni wakati wa kufanya mabadiliko kwa hawa mabalozi wetu hasa huyu aliyeko huku D.R.C kwani hana msaada kwa waTanzania hata pale anapopewa taarifa.
Amekua ni mtu mwenye kiburi na jeuri.
Rais tunakuomba utuondolee huyu mtu.Na pia imefikia mahali...
Habari zenu wanajamvi wa JF,
Naombeni kwa yeyote mwenye kufahamu mahala ninapoweza kupata vitabu vya hotuba za Martin Luther King Jr, Mwalimu Nyerere na Nelson Mandela. Anijuze tafadhali, navihitaji sana.
Ndugu wanajamvi la JF, Kwa yeyote mwenye kufahamu chuo kinachotoa mafunzo Online hapa Tanzania ya TRANSPORT & LOGISTIC MAN'MENT, Naomba anijuze tafadhali.
Imekua ni kawaida kwa siku za karibuni kwa watu kujinasibu na kujitangaza kua wao ni kampuni au vikundi vinavyotoa mikopo nafuu kwa waTanzania,cha kustaajisha wanahadaa watu watume kwanza kiasi fulani cha fedha kwenye namba zao kwa M-pesa,tigo pesa au airtel money,ndipo upatiwe mkopo!,ukiwapigia...
Habari yenu wana Jf?,naomba kwa anaefahamu ni ofisi gani hapa nchini naweza kupata Work permit itakayoweza kuniwezesha kwenda kufanya kazi ya udereva nje ya Tanzania,Nimetakiwa kupeleka hiyo Permit,please mwenye kufahamu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.