Search results

  1. S

    Kuitwa Kazini TPDC

    mbona bado, nyie mnaongelea post gani? zile za mwezi wa tano bado
  2. S

    Naombeni ushauri

    vipi kama mtu alipata tamisemi alafu hakuripoti, akija kupata baadae kwenye mashirika inakuwaje?
  3. S

    Kuitwa Kazini TPDC

    nimeitwa
  4. S

    Kuitwa kazini: Tume ya utumishi wa mahakama

    hata mimi nahitaj kujua
  5. S

    Anayejua kutengeneza soseji karibu

    Napenda sana hii kitu nikila najiuliza hivi wanatengenezaje?
  6. S

    Kuitwa Kazini TPDC

    si kweli
  7. S

    TPDC Oral vipi?

    mabona hatuambiani jamani
  8. S

    Fursa za biashara nchi ya Thailand

    hakuna ubaya ila nilikuwa nafikiria uhuru zaidi ntakuwanao nikiwa na mwanamke mwenzangu
  9. S

    Fursa za biashara nchi ya Thailand

    jamani mi nahitaji mwanamke mwenye uzoefu wa huko, aniambie siku anayokwenda kuchukua mzigo niongozane nae akanipe uzoefu. ntamlipia ticket ya kwenda na kurudi ila malazi na chakula atajitegemea. NB. Awe mwanamke, na mimi ni KE
  10. S

    Yaliyojiri kwenye Tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards

    hall of fame ina maana gani? kwa anayejua
  11. S

    Biashara safi: Anza na mtaji wa chini sh. 2,000/=

    ijojoo! mboni ngase juandiki samatengu. koto isoli kanono
  12. S

    Line ya M-pesa unauzwa!!

    bei gani? alafu naweza kununua hapa ikaenda kutumika sehemu nyingine kama iringa? maama sina uelewa wa kutosha
  13. S

    Je Boxer bm.150 ndo pikipiki yenye nguvu kuliko Toyo? 150?

    vipi bei ya hizo boxer kwa mwaka huu
  14. S

    Viwanja bomba mbili Dar

    jamani bomba mbili si ipo songea?
  15. S

    Nyumba inauzwa

    watu wanatafuta kaz kwenye hili jukwaa wewe unaongelea mambo ya nyumba ya mil 400. duuh!
  16. S

    Fahamu kupika Vitumbua vya aina mbalimbali

    Kuuacha uumuke kwa muda gani? unaweka amira au?
  17. S

    Wadau naombeni ushauri jinsi ya kuwekeza hizi shs. 10,000,000

    kuhusu spare za pikipiki ndugu, nikitaka kuanza kabla ya kwenda huko dubai mtaji minimum sh ngapi? maana location ni mkoani sio dar
  18. S

    Wadau naombeni ushauri jinsi ya kuwekeza hizi shs. 10,000,000

    vipi kuhusu spare za pikipiki? sio lazima duka liwe kuubwa, kwa kuanzia tu, mtaji sh ngap ndugu
Back
Top Bottom