Inawezekana kwa asilimia 100%. Nimefanikiwa. Msiwe mnakosoa tu kabla hajajaribu waungwana.
Umetisha sana mtoa mada. Waache customer care wao waendelee kuringa 🤣😂
Jamani kama kuna ambae amefanikiwa kuwasiliana na customer care wa sensa wanasemaje kuhusu ambao hawajapata meseji ya nywila au namna ya kupata namba ya siri kwa ujumla?
Ukishaweka cha diploma au degre kikawa uploaded successfully kuna option ya "ongeza" kwenye Taarifa za elimu ya chuo unaweka hicho kiwango chako cha elimu kingine.
Rejea kielelezo hapa chini.
Habari za wakati huu waungwana?
Naomba muongozo na ushauri kwa ajili ya jamaa yangu anahitaji kuuza miti yake ya pine iliyopo kwenye shamba la ukubwa wa hekari moja na ina umri wa miaka 5.
Muongozo anaohitaji ni juu ya estimation ya price range yaani anaweza pata bei gani hapo na kama...
Hoja alizotoa hata
Li
Hoja alizotoa hata hazina mashiko. Hivi kutuma taarifa kwa usahihi kunahitaji kukesha two nights cafe!!??.
Ajira zilitangazwa kwa watu wenye taaluma au kwa maskini???
Mfumo wa kuomba ajira haukuwa perfect ndo maana na wenyewe wamejaribu ku adjust fairness ili ku clear...
Unaulaumu mfumo, serikali, umaskini wako au aliyeajiriwa?
Halafu kila aliye apply alikuwa ana uhitaji kwahyo ulitaka upate wewe wengine wakose?
Pambana na hali yako. Subiri hizo 5000 zilizobaki ndio za maskini waliotuma taarifa kwa usahihi.
#Correction: Matokeo ya semester 5 hayana transcript. Hiyo uliyonayo ni provisional results.
Alafu rudi nyumbani kwanza. Hakuna uhusiano wa maisha ya kitaa na degree yako, ukitaka kujitegemea kajipange tena upya hapo ulikuja kwa ajili ya kusoma sio kutafuta maisha.
Tatizo mkijaga mjini mnaishi...
Kwa tangazo hili ni vigumu kwa mtu mwenye uhitaji wa mwalimu wa sifa zako kukuchukua wewe. Kwanini?
1. Taasisi kubwa sana hapa nchini ndo nini???!
2. Unaonekana hauko passionate na ualimu.
3. Kimsingi kutokana na maelezo yako unataka kuwa mwalimu ili upate mtaji tu then uendelee na michongo...
Elf 6000 af inapitia CRDB mkuu bora aendelee kupambana. Kimsingi biashara zote hazikuwa nzuri kipindi hiki cha kuanzia mwezi wa 3 hadi sasa kutokana na janga la korona lilopelekea mdororo wa kiuchumi na shighuli nyingi za uzalishaji kusitishwa kwa muda ila kwa sasa hali itatengamaa kutokana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.