Habari zenu wadau,leo naomba tujadili suala la (expery date) kwa bidhaa tuzitumiazo kila siku.
1. Je, wewe huwa na utamaduni wa kukagua expery date kabla ya kutumia bidhaa?
2. Je, kuna muda wa nyongeza baada ya ule ulioainishwa katika bidhaa husika kwa ajili ya matumizi?
3. Je, unajua madhara...
Habari zenu wandugu.
Naomba kwa mwenye uelewa juu ya mikopo,maana kunasiku nimeenda NMB-Nbarali nikataka kujua utaratibu mzima wa mikopo na urejeshwaji wake kiukweli nilishangaa sana.
Pale nilipopigiwa hesabu na kuambia katika mkopo wa 10m kuna proccesing fee-kama laki mbili.Insurance fee...
Kiukweli huwa inauma sana kukosa ajira baada ya mafunzo yote ya miezi 24 na wengine kama mimi wa JLC miezi 27 pamoja na maneno matamu ya matumaini ya viongozi wetu ingawa FORM YA KUJITOLEA tulijaza wenyewe.
Naomba yafuatayo yaweze kufanyika kunusuru hasira ya vijana wanaokosa ajira maana hata...
Jaman msaada kwa anaejua namna ya kujiunga na kusoma online(distance learning) katika chuo kikuu huria,kozi ya sheria ngazi ya cheti
matokeo ni dv-4(28points)ENG -C,GEO- C,HST- D,KIS D,CIV- D,BIO -F,MATH- F.
Msaada na ushauri unapokelewa kwa heshima zote.
Heshima ziwekwenu wanajamvi naomba kujua namna ya kujiunga na kusoma online katika chuo kikuu huria kozi ya sheria-results ni Geo-C,ENG-C,KISW-D,CIVICS-D,HIST-D,BIO-F,MATH-F dev 4-28.msaada kwa anaejua hata ushauri unatakiwa kama upo asanten.
Wanajamvi habari zenu polen na majukumu,naomba msaada kwa anaejua bei ya mashine ya kufyatulia tofali za aina zote zile za manual,diesel au umeme anisaidie na zinapopatikana tafadhari.
Mtaalamu wa kudesign logo kwaajili ya logo ya company anahitajika kwa yoyote mwenye utaalamu plz anipe Cost yake, itachukua muda gani? Na anapatikana wap? Bila kusahau kunionesha japo logo sample's kidogo nanaharaka coz nahitaji kumalizia maswala ya TRA.
Kama mtanzania ninapata shida kutambua migogoro ya muungano iliyopo na utatuzi wake lakini niliamini wajumbe wangenipatia majibu ya maswali yangu kupitia wale wa hoja ya serikali 3 na wale wa serikali 2 lakini imekuwa kinyume zaidi nachopata ni serikali 2 ndio mwarobaini wa muungano na utatuzi...
Habar wanajamvi naomba kufahamishwa juu ya biashara ipi inafaida kuzidi ingine kati ya bodaboda na salon ya kiume kwa maeneo ya mkoa shinyanga nina tsh:2000000 but kama kuna kitega uchumi kingine profitable zaidi tofauti na hizo msaada tafadhali kwa mwenye expernce
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.