angalia vizuri kaka walioitwa kazini H/wilaya nachingwea kwa maafisa watendaji wa kata ni 12 na miongoni mwa walioitwa ni Lusajo andembwisiye lipo namba nne isije ikawa lako.
Maalim Seif awaponza wahariri Zanzibar
Posted on February 29, 2012 by zanzibaryetu Waziri wa Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo, Abdillahi Jihadi Hassan na Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Ali Saleh Mwinyikai wakati wakizungumza na waandishi...
Serikali isilifumbie macho suala la matumizi ya dola nchini mwetu. Nchi za wenzetu ukiwa na hela zako za kigeni mahali pekee pa kubadilishia ni benki tu, mfano dhahiri ni china, kule hakuna mzaha kila kitu ni mwendo wa fedha yao RMB.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.