Wakuu.
Tangu safari ya treni la Pugu kwenda mjini kuanza, kumetokea msongamano mkubwa wa watu kwa treni la Ubungo Maziwa kwenda mjini hiyo imetokana kupunguzwa kwa idadi ya mabehewa yake na kuongezewa treni ya route ya Pugu station.
Ni vyema management watafute mbadala wa utatuzi wa hili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.