Hiv nin maana halisi ya ujanja????? Ni lafudhi ndo kuwa mjanja au pesa???? Am so wandazzzz!! masanja rudi tena ufafanuee naona mada zmeinguliana hku....
Cjui unamaana gan mkuu bt km ni kutaja majina ya familia yake hta hko majuu mbona hii inahappen sana, mf.recently ni chris brown na mwanae plus kanye na baby north wake
Takukuru hana meno labda maguful awape huo uwezo wa kuwawajibisha moja kwa moja wahusika maana kichekesho kilichopo ni kwamba kaz ya takukuru n kumkamata mwiz thn anamwachia DPP amuwajibishe ss haya si maigizo na maajab saba ya dunia?????
Matabaka yanazid kukuzwa kwa makusud ktk hii nchi kwa njama za makusud na kulazimisha saikolojia za watu ziamin tu kuwa kutoa pesa nying ndo kupata elimu bora mbaya zaid ni pale unapolazikika kumlipia mtoto wa miaka5 1.5mill cha zaid anachojua ni kuimba wimbo wa taifa na kukariri alpabetic tu...
Na zingine pamoja na ku pandisha ada bado huduma zilikuwa mbovu kuliko kipimo cha kawaida yan mtoto unamlipia mamilion et kisa english speakin bado na miziro watoto kibao wanapata ss hapo useme kama mzaz ufanye ziara ya kushtukiza kwa kwenda kuchek bwen analokaa mtoto uwiii unaweza kuzimia, mm...
Mkuu kwa mbali naunga hoja yako kwamba huduma zao ni nzur lakin sio kigezo za kuwabembeleza na kuwafanya miungu watu et kisa wao shule zao zina kidh viwango vya elim bora, kiukwel uozo hapo kat upo regadless ya kupanda kwa gharama za maisha na teaching material na vyovyote vile, lakin bado mm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.