Search results

  1. M

    Mwisho wa kuomba vyuo tcu ni lini?

    Wakuu naombeni mnijulishe mwisho wa kutuma maomba ya kujiunga na vyuo kupitia tcu ni lini.
  2. M

    Gharama za maombi heslb na tcu

    1.heslb usajili 30,000/= i.cafe 8,000/= nauli 20,000/= s/mtaa 5,000/= mahakama 9,000/= posta/ems 13,100/= 2.tcu usajili 50,000/= i.cafe 5,000/= nauli 5,000/= total 145,100/= hapa mtoto wa mkulima atamudu???? Ccm oyeeeee....!!
  3. M

    Mwenye soft copy ya tcu guide book 2014/2015.

    Kama kuna mjumbe yeyote anayo tcu guide book yq mwaka huu naomba anitumie kwenye whasapp yangu through 0758906933
  4. M

    EDUCATION v/s ENGINEERING

    wakuu napenda kujulishwa kati ya bacholar ya ualimu (MASOMO YA SAYANSI) na uhandisi ni ipi inalipabkatika soko ajira
  5. M

    Msaada wakuu: Bsc.Ed v/s Bsc. Eng.

    KATI YA EDUCATION NA ENGINEERING NI IPI lNALIPA KATIKA UPATIKANAJI WA MKOPO NA AJIRA BAADA YA KUHITIMU..............!!!!
  6. M

    TCU wataanza kupokea maombi ya application lini?

    Wakuu napenda kufahamisha tcu huwa wanaanza kupokea maombi ya application kwa ajili ya kujiunga na vyuo kuanzia mwezi gani? Pia utaratibu wa kutuma unakuwaje kati ua chuo ulichoomba, tcu na bodi ya mikopo. #kuuliza siyo ujinga.
  7. M

    Nitawezaje kutuma maomba TCU

    Wakuu napenda kuelekezwa ni namna gani ya kutuma maombi tcu ili kuweza pata chuo pamoja na mkopo. nina diploma ya mechanical engineering na napenda kuwa mwl. ktk masomo ya science coz nina gpa ya 3.6 vp naweza pata chuo na mkopo ktk bsc. education? kiroho safi tu.
  8. M

    Ugumu wa ajira.

    wakuu salute kwenu. nina diploma ya MECHANICAL ENGINEERING toka ARUSHA TECH. COLLEGE. huu ni mwaka wa tatu toka nimehitimu na kutokana na ukosefu wa ajira nimekuwa nikifundisha tuition mtaani kwetu. kwa sasa nini mpango wa kwenda kusomw diploma ya ualimu in technical education pale chuo chs...
Back
Top Bottom