Mahakama Kuu ya Tanzania leo mchana (17.09.2014) imetupilia mbali mapingamizi 4 (Preliminary Objections) yaliyowekwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) katika kesi ya kupinga kuendelea kwa mchakato wa Bunge la Katiba iliyofunguliwa na Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (Tanganyika Law...
Labda kwa kujibu swali lako kuhusu pre nuptials na post nuptials naomba nikuhakikishie kuwa zinakubalika Tanzania (ingawa sheria haiko wazi sana katika hili hasa kifungu cha 58). Hapo nilipohighlight panatoa posibility ya kuamua ni mali zipi ziwe za ndoa na zipi zisiwe za ndoa. Uamuzi huu (kwa...
Mtoa hoja ana hoja. Kasema kweli. Watu wanaonunua degree wapo tena wengi. Bahati nzuri nimegraduate MBA Corporate Management ya Mzumbe. Niliifanya kwa jasho na damu yangu n m proud of my thesis and findings. Bahati mbaya sana, wapo wenzangu ambao thesis zao ni of questionable quality and...
Labda nikuongoze kidogo. shauri lako linaweza kuingia katika vipengele viwili. Moja ni sheria za madhara (kwa kiingereza tort) kwa wale mlioumia na sheria ya Fatal Accidents kwa wale waliofariki.
Kiutaratibu kuna michakato miwili huendelea mahakamani. Mchakato wa Kijinai kupitia Road traffic...
Ila najua mwaka 1997 ndio ulikuwa mwaka wa mafanikio kuliko mwaka mwingine wowote maana najua ukiacha Kongosho vijana wa mwaka huo zaidi ya 30 walienda Ilboru na wengine 20 walienda Mzumbe na wako very succesful kwenye maisha.
I am proud to be married to one of the 1997 Classess.
Ah miye nilikuwa jangwani lakini naukumbuka sana wimbo wa shule ya Azania na namna Bob Leo (now an advocate) alivyokuwa anauimba: Azania, Azania, Azania our school. We look at you with pride. You are known far and wide and you are always our guide we will never forget you. .....Niendelee?
Lakini pia ni lazima watu watambue kuwa demokrasia pia ina gharama zake na hapa ndio zinapojionyesha wazi. Katika demokrasia kuna mtazamo wa mwenye kura nyingi ndio apewe regardless amezipataje. Kuhoji amezipataje ni lazima uende kwenye mfumo tofauti wa rufaa lakini hakumuondolei mtu uhalali wa...
Bwana Aweda usikate tamaa kuhusu ushiriki wako kama mdau katika katiba maana Tume inatambua haki yako ya kutoa maoni na imetengeneza aina mbili za mifumo ya katiba.
1. Aina ya kwanza ya Mfumo wa Baraza la katiba ni huu ambao mchakato wake umeanza sasa. Huu utatambulika kama mfumo rasmi kwa...
Mzee Mwanakijiji hapa ndio tofauti iliyopo kati ya Mwanasheria na Layman. Katika utungaji wa sheria za kuna sheria kuu na sheria ndogo (subsidiary legislation). Subsidiary legislation ya sheria kubwa ndio inayotoa utaratibu na muongozo wa uchaguzi. Hii subsidiary legislation ilitolewa kwenye...
Mpeleke mahakamani na udai gharama za matibabu na gharama nyinginezo. Sheria ipo. Inaitwa sheria ya madhara au Torts. Ukienda kwa wakili atakupa maelezo ya ziada.
Siku zote mimi huwa nasema kama yuko Mtanzania ambaye haridhiki na aina ya kazi na maslahi anayopata basi aende pale CMA na afungue madai.
Pili, hawa wafanyakazi wa Erolink kwa kuwa wako wengi wajiunge na vyama vya wafanaykazi. ndani ya hivyo vyama watapata fursa ya kujadili maslahi yao ikiwa...
Mwanakijiji nitajitahidi kulijibu swali lako kama lifuatavyo:
1. Wrongful death inajulikana Tanzania na iko governed na sheria inaitwa the Law Reform (Fatal Accidents and Miscellaneous Provisions) Act. Chapter 310 ya Sheria za Tanzania.
2. Specific provision on the manner of application...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.