Mkuu.mimi huwa sisumbuliwi na watu wenye tabia ya kutukana kama yako. najua hapa jf kuna baadhi yenu mna degree za matusi.
NB kwa anyehitaji kazi tuma maombi tu.
asante.
Mkuu, kwanza pole kwa yaliyokukuta, Ni kweli usaniii upo takiribani katika kila nyanja ya maisha.Lakini sio kila jambo ni utapeli. Tangazo langu la ajira sio la kisanii (kitapeli) kweli tunahitaji watu kwaajiri ya kazi.Kuto kuweka majina ya kampuni husika kisiwe kigezo cha kuonekana kuwa ni...
unadharau kazi!. Tatizo letu wa tz tunadharau sana kazi, lakini mkienda ulaya mko radhi kuosha vyombo ila mkirudi hapa mnaanza kuchagua kazi.
Mkuu mimi sioni haja ya kuweka majina ya makapuni yanayohitaji hao wafanyakazi, kwa mwenye nia na mwenye vigezo tajwa omba kazi. Najua wengi wenu...
NAFASASI ZA AJIRA
TUNAAJIRI VIJANA WENYE STASHAHADA NA CHETI KATIKA FAINI ZA BIASHARA. KAZI ZIPO ZA AINA MBALIMBALI KAMA:
SALES MANAGEMENT, SHOPKEEPING, PURCHASES MANAGEMENT, STORE KEEPING , & CUSTOMER RELATIUONS
TUMA CV YAKO KWA WAKALA WA AJIRA. E-MAIL: mukyarugaba@gmail.com
TEL :0712 792341
mkuu biashara ya movie za collection sasa iko katika mabaridiko makubwa sana watu hawataki movie za english badala yake wengi wanapendelea movie zilizotafsiriwa kwa kiswahi na ma dj wa kibongo, dj wanaempenda zaidi ni mr rufufu mkandala, pia dj khan na dj mark.hivyo collection za kiingereza...
jambo jema. Mkuu asante kwa mtazamo wako wa kubeza, japo kuwa kweli kuna makosa ya kusahau anuani.
Mkuu. Tupo dar es salaam tanzania.
Nb ila kwa mwenye shida ya dhati ya kazi tajwa anakaribishwa kutuma maombi mpaka 26/09/2011.
ASANTE
TANGAZO LA KAZI
Tunahitaji vijana wawili tu wenye sifa zifuatazo;
Awe muaminifu
Awe mchapa kazi
Awe na ujuzi wa fani ya usimamizi wa biashara au fani ya Uhasibu.
Tuwasiliane kwa njia zifuatazo;
AUGUSTER COMPANY (T) LTD
P.O.BOX 38588
TEL: 0762490080
E-mail:macheye@live.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.