Yani huna experience yoyote ya wanafunzi na kujua changamoto za uwalimuna kuzitatua unaenda kusoma masters aisee nakushauri nenda kafundishe kwanza at list miaka mitatu ujue uhalisia wanafunzi wa tanzania na changamoto zao kisha ndio uende kusoma hiyo masters yako
Ni aibu sana kuwa na elimu...
PDF ya mabadiliko ya wakuu wa mikoa na wilaya na Wakurugenzi ipo tayali Arusha ina mkuu wa mkoa mwingine katika hii PDF jina makonda halipo hapa tunasubilia sherehe za mei mosi zipite tuipandishe
Mwaka 2000 mpaka 2013 mwanza ilikuwa ya moto sana kiburudani Sahara media ikiwa na the kiss fm, na Radio free Africa pamoja na chuo cha SAUT MWANZA viliipaisha sana MWANZA enzi hizo SAUT wanasoma watoto wakishua tu ambao bata ilikuwa ndio imani yao asikwambie mtu MWANZA ilikuwa tamu bwana enzi...
Tuonane juma pili asubuhi kwenye supu pale jangwani Mo hawawezi watoto wa mjini GSM yani shabalaa akatae pesa tangu lini na pale ndio njia maize atakuwa anateleza tu na hawawezi muanzishia benchi
Simba kufungwa kupo pale pale kwa sababu mategemeo ya ubigwa hayapo so wachezaji wakuwategemea sidhani kama wengi msimu umao wana mpango wa kubaki Simba so rushwa watachukua tu maana Simba ubabaishaji mwingi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.