STUDENTS ACADEMIC YEAR 2018/2019
Naomba kuwapongeza wale wanafunzi wote mliochaguliwa kujiunga na chuo cha Taifa cha usafirishaji NIT.
Natumia fursa hii kuwakaribisha chuoni; pia kwa ambao hamfahamu location ya chuo kiko Dar Es Salaam-Mabibo
Mwisho kabisa chuo kitakapo anza usajiri rasmi...
Wana Jf habar;
Nimekuwa nikizipitia hizi sifa za kufungua kampuni ya Uwakala wa forodha kwakwel mashart yake ni magumu, ikizingatiwa na hali ya upatkanaji wa pesa halafu TRA anahitaji uweke Bond (dhamana) ya Tzs 100000000/= lol kwa hali hiyo wanaotoka vyuon na kuwa na wazo la kuingia kwenye hyo...
Kauli za Mh. Rais Magufuli zionyeshe Uhalisia
“Tanzania hii ilikuwa shamba la bibi … watu walikuwa wanafanya ya hovyo, ninaposema ya hovyo ni ya hovyo kweli.”
“Mimi nimekuwa waziri kwa miaka 20, mambo ya mateso kwa wananchi hayana chama- ukikosa dawa hospitalini utakosa tu uwe CHADEMA au CCM...
Licha ya kuwa imeamuliwa kutorushwa kwa matangazo ya bunge mchana badala yake yatarushwa usiku baada ya kuwa recorded.
Basi Ushauri wangu kwa wabunge wa UKAWA ili waondokane na wasiwasi na hofu ya kuchakachuliwa kwa hoja zao wazitoazo bungeni bas nawashauli kila mbunge aweze ku record kile...
Katika hali ya kuuzunisha Mh.Rais unawaangusha wanyonge wa nchi hii hasa walioanza kuamini wewe ni jembe ingawaje mimi binafsi bado sijaona cha kusifia saaaanaa.
Kwa kifupi ni kuwa kutoonyeshwa kwa bunge live kuna wapa haueni wale wapiga dili na mafisadi kwani wengi wao tuliwafaham pale...
Wakuu habari zenu!
Mim nmekuwa nikisoma malalamiko mengi sana ya wana Jf ambao ni student's wanaotaraji mkopo, nlichokigundua ni kweli kuna waliopata na kunawaliokosa. Ila mmi binafsi nauliza je kati yao waliokosa kuna ambao mwaka wakwanza walipata na mwaka wa pili wakakosaa?? nikipata kujibiwa...
Habar zenu wandugu!
Karibun sana katka hali ya kufahamishana mawili matatu kuhusiana na kuripot chuon na mambo mengine ikiwa wapo miongon mwetu washafika kwenye hii Taasis yetu ya Usafirishaj kujua kinachoendelea bas atujuze
Vile vile kama documents za ku sign boom zshatoka tufahamishane wadau
Habarini wandungu!
Jimbo la kawe mwaka huu ni ngumu kutabiri ni nani ataibuka kidedea kutokana na kuwepo kwa wagombea wote wawili kukubalika na wananchi.
Jambo lingine ni kuwa mgombea aliyekwisha ongoza miaka mitano ambaye ni wa upinzan kuonekana kuridhika na nahis labda ameashajihakikishia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.