Siasa bwana!!! wakati mwingine nahisi labda mwandishi wa habari hizi hakumnukuu vizuri. Hivyo Wizara ya uchukuzi ndiyo inayokamata (kutia nguvuni) watu wanaopita na Unga pale JNIA?
Polisi (Kitengo maalum) walikuwa wanakamata kila mara lakini wale vidagaaa vya wakutolea mfano lakini Papa hawawezi...
Kufanana si jambo la ajabu na sio kwamba kufanana na mtu ndio kuhusiana kibailogia.Fanya utafiti zaidi hasa kutoka kwa mama yako mzazi au watu wake wa karibu nae ambao waliujua uhusiano kati ya mama yako na huyo unaemuhisi kuwa baba yako kwa sababu katika mahusiano ya kimapenzi ya muda mrefu...
Hivi hamuoni aibu kushabikia mambo ya udini katika maswala yasiyo ya Kidini. Hivi taifa hili mtalipeleka wapi na mambo haya ya kidini? Mbona Sister Jean alipomoukota mtaani huyu kijana hakutizama jina wala dini yake na mpaka leo kamuwezesha kuliletea sifa taifa na yeye mwenyewe?
Hivi kwani...
Somo nzuri lakini mkumbuke kwambahaya mambo ya O/D ni kwa zile Automatic gearbox za zamani. Hizi za sasa kila kitu ni Automatic. Gearbox ina sense kutokana na Engine motion na terrain huna haja ya kubonyeza button ya O/D na tena kwenye gari sa kisasa hazipo kabisa.
Jamani hivi gharama ya kukarabati vichwa viwili unagharimu USD 800,000 (Tshs 1.2 billion equivalent)? Hata hivyo apongezwe tu. Hata kama wengine wakisema anataka msamaha wa kodi mbona wengi tu hawalipi kodi kabisa na hawachangii hata dawati la moja shule?
Mikopo imesaidia watu wengi. la muhimu ni kujua na kutafuta washauri wataalam wa maswala ya Financing iwapo huna utaalamu wa kutambua jinsi ya mkopo unavyochukuliwa na kurejeshwa kwa riba bila kuleta hatari ya kupoteza mali zako.
Mkopo wowote na riba yake inategemea jinsi ulivyokuwa structured...
Hizi information ni ya zamani takribani miaka mitatu au minne iliyopita, wale walioaanza tumia simu za mkononi na e mail boxes siku nyingi watakuwa wanajua. Kwa sasa simu nyingi zinazotengenezwa Marekani na Finland zinatoa major parts toka China from reputable Companies.
China kuna kila aina ya...
Bango lipo na contact za kuweza jibiwa papo kwa papozipo kwa nini hamzitumii mpaka mnataka mjibiwe kupitia JF. JF siyo official web site au blog ya TRA.
Uliza hoja na kero zako kwenye contact zilizotolewa na kama hujajibiwa ipasavyo ngazi ziko nyingi mpaka zitatatuliwa. Hizo contact ziliwekwa...
Your explanation and personal info could have added value if you included the little detail of your previous partner( if any). Have you abandoned her or you want to add new spouse/partner? Where you married before? What is the source of your infection since there are many causes which may lead...
NIDA watakuwa wanajua yote haya. Wameshapaitia ngazi za viongozi wa juu wa Serikali katika swala la kuwapatia vitamblisho vya taifa ikiwa mchakato wake ni kupitia /kuhakiki sehemu kadha za vyeti vya shule katika level mbalimbali na pamoja na vyeti vya kuzaliwa.
Ukiona kimya basi ujue yuko safi...
Kwa akili ya kawaida kabisa Rizwan au Nape hawawezi kutumia Facebook account zao kutuma ujumbe kama huu ambao moja kwa moja utawachukiza wana jamii wengi. HII kama alivyosema Mgonjwa mwenyewe kwamba watu wengine wanachukua nafasi hii kuwachafua wengine ili wajijenge kisiasa. Hapa ndio mahalli...
Cha ajabu utaona uchaguzi Klabu ya Simba anapita. Uchaguzi Tabora 2015 atapita na hata angegombea TFF ingawa alikumbwa na kashfa huko angepita. Hivi hii ikoje? Hata maajabu anayoya fanya hayaonekani. Kuna haja ya kuweka utaratibu wa kuwapima viongozi wanaotaka kuchaguliwa na hata wakati wakiwa...
Kama sio njama basi ni mfumo mbovu ambao umekaa ki rushwa rushwa. Akilini haiwezi kukaa kama Kampuni kubwa kam ile iwe haijalipa kodi toka 2008 (PAYE na zingine ) halafu ikawepo bila ya kupelekewa demand note mpaka inaondika kwenye biashara? Mbona wenye viduka vidogo tu ukichelewa kupeleka VAt...
This Act has been put in place after a long consultation among several stakeholders including representatives of Tanzania Workers and it was revised in 2004.
It might be true that you have strong point to your claim but it could have been better if you cited provisions which are contradictory...
Pandikizi hapo nani sasa? Arfi au huyo kijana aliyemzulia Arfi kama kapokea rushwa toka kwa Pinda? kama Arfi pandikizi wa CCM kwa nini Pinda atoe rushwa kumpa Arfi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.