Waungwana nimepotelewa na vitambulisho vyangu siku ya Jumamosi. Kwa yoyote atakaeviona tuwasiliane whatsap 0713680495 au anaweza kupiga 0713403575. Jina Silvano Machangu nipo Magomeni Dar es Salaam. Nitashukuru sana kwa msaada wenu
Katika kipindi cha wiki moja au mbili kumezuka gonjwa la watu kukohoa kikohozi kikavu na pia mafua katika jiji la Dar es salaam. Watu wengi sana wamekumbwa na gonjwa hili. Je sababu kuu ni nini?? kuna baadhi wanasema ni mabadiliko ya hali ya hewa yaliyopo now. Sijui wenzangu mnasemaje kuhusu hili.
Ndugu zangu hebu tujadili nini hatima ya vurugu zinazoendelea kati ya wanauamsho wa kiislamu dhidi ya serikali hatima yake ni nini??? Ukiangalia ndani ya wiki hii kumetokea vurugu Mbagala, ikaja ya Sheikh Ponda kukamatwa hadi kusababisha mabomu kupigwa central police jana, hapo hapo zanzibar...
WATU 15 wakiwemo watoto wawili, askari polisi mmoja wa
jijini Mwanza wamepoteza maisha na wengine 67 kujeruhiwa
vibaya katika ajali iliyohusisha basi la kampuni ya
Sheraton lenye namba T 268 AJC na basi la Bunda Expres
namba T 810 BDW baada ya kugongana uso kwa uso eneo la...
Ndugu zangu mnaongeleaje kuhusu part hii kali nimeipata kupitia http://ladyjaydee.blogspot.com/ . Nadhani ni kali na haijawahi kutokea hebu someni:
Habari gani wapendwa.
Nimepata wazo moja hivi ambalo ningependa kuwashirikisha, mara nyingi tumekuwa tukifanya party za kukusanyika marafiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.