Search results

  1. U

    Kwa wale wa Mount Meru University(MMU)

    Wakuu ninatarajia kujiunga na chuo kikuu mwaka huu na ninapendelea kusoma katika chuo hiki kampasi ya mwanza kwa koz ya BBA lakin nilikuwa nataka nijie kuhusiana na ubora wa elimu inayotolewa katika chuo hiki pia idadi ya masomo kwa semister moja ili niweze kufanya chaguo sahihi. Naombeni kwa...
  2. U

    King'amuzi cha azam

    Wakuu tangu azam atoe ving'amuzi vyake nilkuwa bado sijaviona lakin leo katika pitapita yangu nikaweza kumkuta jamaa mmoja anacho aisee nimevutiwa sana na hiv ving'amuz kwanza channel ni nyingi pia rangi imetulia tatizo ni dish lake kuwa kubwa sasa kwa sisi tunaoish kwenye upangaji tutapata...
  3. U

    Mko wapi mliosema ajira zitatoka mwezi huu

    Tatizo lenu baadhi ya walimu hamtaki kuambiwa ukweli mnajifariji kwa vitu ambavyo haviwezekani. Mkiambiwa serikal haina hela za kuajiri mnaanza kutoa matusi haya.sasa endeleen kudanganyana!!!
  4. U

    Ndugu zangu tusiwaamini wanasiasa hata kidogo!!!

    Kazi ipo kwa wanasiasa wetu!!!
  5. U

    Ndugu zangu tusiwaamini wanasiasa hata kidogo!!!

    Wakuu kwanza polen na majukumu ya kila siku, mimi ni mdau mkubwa wa siasa hasa baada ya uchaguz mkuu uliopita nilikuwa nafatilia sana siasa za vyama vyote chama tawala na vyama pinzani. Mwaka 2010 kipind cha uchaguzi mkuu nilikuwa nimejielekeza zaid katika kufatilia hoja zilizokuwa zikitolewa...
  6. U

    Ardhi Mwanza haishikiki!

    Nafikiri huko Usagara kutakuwa kuna uafadhali kidogo!
  7. U

    Magonjwa ya zinaa-mambo muhimu Kufahamu

    Ni muda gan mtu ataanza kuona dalili tangu alipoambukizwa?
  8. U

    Kipandauso (migraine): Chanzo, Dalili, Tiba na jinsi ya kujikinga na tatizo hili

    Lozi ndiyo karanga dr au ni nin, mbona sielewi wala sijawah kusikia kitu kinachoitwa lozi
  9. U

    Ardhi Mwanza haishikiki!

    Ngoja nifanye hivyo mkuu!!!
  10. U

    Ardhi Mwanza haishikiki!

    Kwan arusha pakoje huko mkuu???
  11. U

    Ardhi Mwanza haishikiki!

    Asante mkuu kwa ushaur wako, ngoja nifanye hivyo
  12. U

    Ardhi Mwanza haishikiki!

    Taja bei mkuu, chote ni bei gan ili kama vipi nikuibukie
  13. U

    Ardhi Mwanza haishikiki!

    Mmmmmh pole mkuu!!!
  14. U

    Mwigulu Nchemba: Serikali haina fedha kwa ajili ya kuajiri walimu wapya

    Tatizo lenu watz hamtaki kuelezwa ukweli, haya endeleen mim yangu macho
  15. U

    Ardhi Mwanza haishikiki!

    Sawa mkuu!!
  16. U

    Ardhi Mwanza haishikiki!

    Nakushukuru mkuu ngoja nifanye mchakato wa kuchukua!!!
  17. U

    Ardhi Mwanza haishikiki!

    Wakuu kwa wale wenyeji wa Mwanza mtanielewa, nilbahatika kupata kazi Mwanza na sina muda mrefu sana lakin leo nimeshangaa kwan niliongea na mtu mmoja wa Buswelu ili anitafutie ka kiwanja nami nijenge angalau ili niepukane na upangaji. Cha ajabu nimeenda kuonyeshwa kiwanja sehem moja inaitwa...
  18. U

    Mwigulu Nchemba: Serikali haina fedha kwa ajili ya kuajiri walimu wapya

    Wakuu naibu waziri wa fedha mh mwigulu nchemba amekaririwa akitamka wazi kuwa serikali kwa sasa inakabiliwa na ukata wa fedha na hivyo kushindwa kuwaajiri walimu wapya kwa kuwa haina fedha za kuwalipa stahiki zao, pia kutokana na ukata huo wazabuni mbalimbali pamoja na makandarasi hawajalipwa...
Back
Top Bottom