Wakuu ninatarajia kujiunga na chuo kikuu mwaka huu na ninapendelea kusoma katika chuo hiki kampasi ya mwanza kwa koz ya BBA lakin nilikuwa nataka nijie kuhusiana na ubora wa elimu inayotolewa katika chuo hiki pia idadi ya masomo kwa semister moja ili niweze kufanya chaguo sahihi.
Naombeni kwa...
Wakuu tangu azam atoe ving'amuzi vyake nilkuwa bado sijaviona lakin leo katika pitapita yangu nikaweza kumkuta jamaa mmoja anacho aisee nimevutiwa sana na hiv ving'amuz kwanza channel ni nyingi pia rangi imetulia tatizo ni dish lake kuwa kubwa sasa kwa sisi tunaoish kwenye upangaji tutapata...
Tatizo lenu baadhi ya walimu hamtaki kuambiwa ukweli mnajifariji kwa vitu ambavyo haviwezekani. Mkiambiwa serikal haina hela za kuajiri mnaanza kutoa matusi haya.sasa endeleen kudanganyana!!!
Wakuu kwanza polen na majukumu ya kila siku, mimi ni mdau mkubwa wa siasa hasa baada ya uchaguz mkuu uliopita nilikuwa nafatilia sana siasa za vyama vyote chama tawala na vyama pinzani.
Mwaka 2010 kipind cha uchaguzi mkuu nilikuwa nimejielekeza zaid katika kufatilia hoja zilizokuwa zikitolewa...
Wakuu kwa wale wenyeji wa Mwanza mtanielewa, nilbahatika kupata kazi Mwanza na sina muda mrefu sana lakin leo nimeshangaa kwan niliongea na mtu mmoja wa Buswelu ili anitafutie ka kiwanja nami nijenge angalau ili niepukane na upangaji.
Cha ajabu nimeenda kuonyeshwa kiwanja sehem moja inaitwa...
Wakuu naibu waziri wa fedha mh mwigulu nchemba amekaririwa akitamka wazi kuwa serikali kwa sasa inakabiliwa na ukata wa fedha na hivyo kushindwa kuwaajiri walimu wapya kwa kuwa haina fedha za kuwalipa stahiki zao, pia kutokana na ukata huo wazabuni mbalimbali pamoja na makandarasi hawajalipwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.