Habarini,
Nahitaji kujua kama kuna mtu ana uelewa zaidi au experience ya ni muda gani ukitoa An intrauterine device (IUD au coil) au wengine wanaita loop, unaweza kupata ujauzito.
Niliweka IUD ya copper about 4 years ago na nataka kuitoa, kama kuna mwenye experience ya hii msaada plz
Adele ni moja kati ya wanamuziki wanaonibamba sana nikisikia nyimbo zake huwa zinavuta hisia..
ukianza na Someone like you, Rollin in the deep, Skyfall etc
Alikuwa kimya kitambo lakini sasa hivi ametoka na Hello..imesha hit views almost 90m ndani ya siku tano kwenye you tube.Album yake mpya...
Its a very nice Series ipo based kwenye vitabu vya A Song of Ice and Fire; ni nzuri na dialogue yake ni bomba sana; inahusu mapambano ya familia (clans tofauti tofauti) wanagombania kuongoza Seven Kingdoms...,
Mpaka sasa series imeingia episode ya nne na mwandishi ameshaandika vitabu sita; cha...
The saying is; God gives us what we deserve.
It's a popular saying that people like to use but I'm curious about it.
Does He, really? So if you have a bad husband, bad friends, family members, colleagues etc, it's because you deserve it?
If bad things happen to you, it's because you deserve...
Habari zenu..
Kuna tabia fulani ya baadhi ya wanaume huwa siielewi, unakuta mtu labda ndo mmefahamiana either kikazi au socially lakini anakuwa serious anapokuona hata kama alikuwa anaongea au anacheka basi akikuona anachuna..hata ukimsalimia kama hataki mazoea vile sasa unakuwa huelewi huyu mtu...
habarini za leo..
nipo njia panda yani nahitaji msaada wa mawazo na nadhani hapa nitapata.
nilikuwa na bf wangu kwa kama miaka miwili hivi baadae nikagundua ananicheat basi nikaamua tuachane sababu sikuona sababu ya kuendelea nae. basi nikaamua niwe single hadi nitapompata wa kunifaa,basi...
hello..natumai wote wazima
naamini hapa kuna wataalamu wa mambo ya sheria na ushauri pia.
kuna situation ambayo ipo hivi..kwenye familia imetokea kuwa baba ana mtoto wa nje ambaye alizaa kabla hajaoa. lakini baadae akaoa akawa na familia yake..imetokea baba kafa bila kuacha wosia..sasa je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.