Habari za humu wadau? Mimi ni mgeni humu ila shida hainaga ugeni wala adabu na huwa shida zina miguu so leo zimenilembelea.
Naomba kujulishwa ilipo tuition nzr za wale walimu wa Ilboru sec, Ar sec, Kaloleni sec ambao wameshindwa kufundishia ktk shule walizopo kutokana na sheria mpy ya tuition...
Aisee mi nimegundua hii kuwa TITI LA MAMA NI TAMU HATAKAMA NI LA MMBWA! Sijui wewe ukiangalia watoto wadogo/wachanga wa binadamu na wanyama sijui umekuwa makini kuona wanavyoijoiii...
Jamani sio kila anayewekwa profile na mumewe kwenye whatsapp nk ni kuwa anampenda... sometimes unatambulishwa kwa wake wenzio bila wewe kujijua basi unajiona unapeendwaaa...
Mkoani Arusha kama miezi 4 wanaotafuta ajira wamekumbwa na utapeli kwa kupigiwa simu kuambiwa kuna mtu namtafuta anaitwa Amina (jina sio sahihi na la kwako) ukisema simfahamu unaambiwa mbona aliandika hii namba au kabadlisha namba ama kulazimishwa umjue na ukiuliza shida nini unaambiwa kuna...
Habari za J3 natumai nyote muwazima,
Kilichonileta leo kuandika mada hapa maana kwa asilimia kubwa huwa ni muangaliaji but leo nami nimepata cha kuja kuuliza humu kuhusu hospitali ya mkoa wangu ya Mt. Meru na nachouliza za kutaka ufafanuzi ni hii sera mpya iliyopo ya mwanamke kujifungua.Hii...
JE, FEDHA ZAKO ZA BANK ZIPO SALAMA?
Jamani imenitokea mimi na hivyo iwe fundisho, angalizo na umakini kwa wengine. Account zetu za Bank hazipo salama hata kidogo. Majuzi nikiwa nimepozi na ndugu zangu huku tukiwa tunapata kinywaji, na Wenzetu maeneo mengine ya nchi wakisheherekea sikukuu ya...
JE, FEDHA ZAKO ZA BANK ZIPO SALAMA?! NAOMBA KUZUNGUMZA NAWE...
Jamani imenitokea mimi siku ya LEO na hivyo iwe fundisho, angalizo na umakini kwa wengine. Account zetu za Bank hazipo salama hata kidogo. majuzi nikiwa nimepozi na ndugu zangu huku tukiwa tunapata kinywaji, na Wenzetu maeneo...
Hellow members&drs! Poleni na majukumu ya kifamilia,binafs,serikali,chama nk.
Am single lady of 30's najua wengine watashangaa but ndio hivyo.. by the way sicho nachotaka kukiombea msaada laah asha!
Wapendwa shida yangu ni kuvimba popote ntakapoumia mimi ni shiiidaa lazima paumuke kama ni...
Jamani mi mniambie tuu nini shida umeme tunakatiwa muda wooote wa mjadala bungeni na mchana wakiuacha kidogo ujue kwanzia ile lunch time ni mpk 4usiku ndio ujee. Hii ni Arusha hata yale maeneo tusiyojuaga mgao safari hii tunauona..
Boss yeyote tafadhali husika na kichwa cha habari hapo juu.
Nina uzoefu wa kazi karibu miaka 10 na nimefanya ktk stationary&NGO. Mshahara usiwe chini ya 400,000~350,00 hapo ukiwa ushatolewa makato ya serikali&NSSF. Muda wa kazi ni kama zilivyo sheria za ajira 8asb~10jioni. Overtime ikiwezekana...
Jioni ya leo kumekua na mfululizo wa watu kublokiwa magari yao na watu wanaodhaniwa ni majambazi/wajitoa muhanga nk na kusababisha mauaji na majerui ya watu wa3 walioripotiwa polisi na matukio haya yamepishana kwa kila baada ya dk 30.
Mmoja wa majerui aliyepigwa risasi kupitia dirisha la nyuma...
Most of the man wanapenda kupikiwa chakula kizuri haswa na wake zao na wanajisikia raha zaidi kula chakula alichopika mke.
Pia wanapenda usafi na uwekwaji mzuri wa mazingira safi kila saa 24/7 fo 365 of the year.
Sasa ukute mke mvivu flani akipka ndio uuuuwiii ukila chakula unafanya kuchagua...
Heelllosss wapenzi? Hope mko poa x ndioeee.
Back to z topic for the 1st tyme.
Maeneo ya yalipoanzia huduma za mission na uinjilisti kwa mkoa wa Arusha na ilibo shule ya wavulana wenye vipaji maalumu (bg IQ)na seheme pekee yenye wazungu wengi wastahrabu na wasiopenda bugdha na wapendaou...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.