Ufanyaji wa mitihani kwa kutumia smartphone sasa ndio imekuwa fasheni ambapo hata wale wanafunzi wachache ambao walikuwa hawaamini katika cheating za mitihani sasa wamekata tamaa katika kutumia akili zao. Maana wenzao wanaotumia smartphone wanapata course work kubwa na GPA kubwa hivyo...
Juzi wanafunzi wa UDOM waliobaki kwenye field katika college ya INFO (CIVE) wanaokula ujasi ya INFO waliwekewa sumu kwenye mpango ulioratibiwa na mzabuni anayeendesha cafeteria ya INFO.
Mchezo ulikuwa hivi: Baada ya kuona wakati huu wa likizo, mahudhurio ya wanafunzi kwenye cafeteria ya info...
We really have serious problem at our universities nowdays. Patterns of students available at universities nowdays lack intellectual skills. I think the way they behave reflects the characters of their instructors. They have poor level of reasoning at its best. I think the system of retaining...
Naomba nijitambulishe kwanza mimi ni mwanafunzi wa UDOM ambaye nilidisco UDSM. Sasa tokea nimeanza kusoma hapa UDOM kuna mambo nayaona hayako sawa. kama inavyojulikana wanafunzi wa hapa wengi uwezo wa darasani ni mdogo hivyo tunawaburuza tu darasani.
Sasa kuna tabia ambayo ni common kwa karibu...
Hivi huku vyuoni hakuna mechanism ya kuwafuatilia hawa walimu ufundishaji wao, au ndio wakishaajiliwa imetoka wanaendelea kufundisha wanavyojua wao na hakuna cross-checking maana kuna walimu hapa Udom ni majanga, Nilitaka kutoa details za huyu lecturer lakini nimeona nisubiri nimalize semester...
Pamoja na UDOM kuwa chuo cha kata ila ndani yake kuna college mbalimbali za MTAA, sasa college zote wamepata boom kasoro college mbili ambazo ni za mitaa, College of Earth Science COES na Humanity, Wakati wanafunzi wa Humanity wakienda kujiuza bungeni kama walivyorekodiwa na clouds FM juzi kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.