Search results

  1. M

    DOKEZO TARURA Moshi ni jipu

    Miongoni mwa madereva tunaopata changamoto kubwa ni tunaotumia barabara inayoanzia Tembo Road hadi kiwanda cha Serengeti Breweries Ltd (SBL) kupitia FM Foundation Pre and Primary School. Barabara imeharibika sana na kipindi cha mvua haipitiki na magari yanakwama. Mwanzoni tulikuwa tunachepukia...
  2. M

    Askofu Ikongo: Walioniteka, kunivalisha kitambaa cha sumu nawafahamu

    Tukio la Askofu Pius Ikongo kutekwa na watu wenye silaha aina ya bastola wakiwa na magari mawili na kufunikwa na kitambaa chenye sumu na kupata madhara makubwa mwilini linasikitisha sana. Kinachoumiza ni kutokamatwa wala kuhojiwa kwa watesi wake licha ya kuwatambua na kuwataja kwa majina...
  3. M

    VODACOM waoneeni huruma wateja wenu , mteja ni mfalme

    Leo asubuhi nimehamisha fedha kwa simbanking kutoka CRDB kwenda Mpesa lakini mpaka ninavyoandika hapa hazijaingia Mpesa lakini CRDB zilishakatwa. Ukipiga100 custormer care wahudumu hawapokei. Kweli ndio mnavyofanya biashara? Kila ukitaka kuangalia balance ya Mpesa inakuletea ujumbe "Samahani...
  4. M

    Nini kiko nyuma ya pazia kuvunjwa kwa klabu maarufu ya Mekus?

    Nimesoma gazeti la Mwananchi la leo kwamba pamoja na mmiliki kushinda kesi na kutakiwa kuendelea na biashara zake, polisi hawampi ushirikiano ili arudi katika eneo lake licha ya kwamba eneo lote la baa limevunjwa. Nani yuko nyuma ya hili jambo...
  5. M

    Moshi: Mjane mwenye watoto wanne atupwa jela maisha kwa kosa la kusafirisha mirungi

    NEWS UPDATES Mwanamke mwingine mkazi wa Kiboriloni katika Manispaa ya Moshi,Sophia Kimaro (28) amehukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kosa la kusafirisha kilo 12:5 za Mirungi, kosa alilolitenda tarehe 4.12.2014. Alikamatwa eneo la Njoro ya Dobi Moshi akisafirisha mirungi kwenda kuiuza. Hukumu...
  6. M

    Jaji mkuu, ugomvi na wanahabari wa nini?

    Leo niliingia mahakama Kuu Moshi katika usikilizaji wa kesi ya mauaji ya kukusudia ya mwanafunzi wa shule ya Scolastica inayowakabili watu watatu akiwemo mmiliki wa shule, Bwana Edward Shayo. Mimi niliingia kama msikilizaji wa kawaida ila nilichokisikia nimejiuliza mara mbilimbili ni kitu gani...
  7. M

    Polisi Kilimanjaro wazidiwa nguvu na Wasafirishaji Mirungi

    Ninajiuliza sana sipati jibu. Inakuwaje usafirishaji wa dawa za kulevya aina ya Mirungi unafanyika mchana kweupe pasipo polisi kuchukua hatua? Crime buster wa mkoa no RCO na amezungukwa ni kitengo CH intelijensia, hivi wameshindwa kuju mafurushi haya ya mirungi yanayotoka Kenya yanaelekea...
  8. M

    Kesi ya mauaji ya kukusudia ya mwanafunzi wa shule ya Scolastica ya Himo Moshi kuanza kusikilizwa

    Kesi ya mauaji ya kukusudia ya mwanafunzi wa shule ya Scolastica ya Himo Moshi, inayomkabili mmilliki wa shule hiyo, Edward Shayo, mwalimu wa nidhamu na Mlinzi wa shule hiyo itaanza kusililizwa rasmi mfululizo na Jaji kutokana Mahakama ya Rushwa na Uhujumu uchumi. Kusoma habari hii kwa kina na...
  9. M

    Wasafirishaji mirungi wajitangazia Jamhuri Kilimanjaro

    Jana tarehe 19.01.2019 nikiwa maneo ya KDC Moshi, meta 100 tu kutoka ilipo Ikulu ndogo ya Moshi, lilipita kundi la vijana zaidi ya 16 wakiwa katika pikipiki nane wakienda mwendo wa kasi huku wakiwa na mapanga. Katikati ya pikipiki hizo, zilikuwamo pikipiki mbili zilizokuwa zimebeba maboks...
  10. M

    Ndesamburo awalipua Polisi Kilimanjaro

    Mbunge wa Moshi Mjini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mzee Philemon Ndesamburo ameamua kupeleka hoja binafsi katika Bunge la Bajeti baada ya Polisi kuwakingia kifua wafanyabiashara matajiri wanne wa Jiji la Mwanza wanaotuhumiwa kumuua kikatili kijana mmoja aitwaye...
Back
Top Bottom