Polisi Kilimanjaro wazidiwa nguvu na Wasafirishaji Mirungi

mchwa mpaka

Member
Nov 18, 2009
35
70
Ninajiuliza sana sipati jibu. Inakuwaje usafirishaji wa dawa za kulevya aina ya Mirungi unafanyika mchana kweupe pasipo polisi kuchukua hatua?

Crime buster wa mkoa no RCO na amezungukwa ni kitengo CH intelijensia, hivi wameshindwa kuju mafurushi haya ya mirungi yanayotoka Kenya yanaelekea nyumba gani hapo Moshi mjini?

Huko Chekereni, Mabogini, Pasua Matindigani na Bomambuzi ni nani wahusika wakuuu?

Hivi Intelijensia yako ni mikutano ya vyama vya upinzani tu? Au mko kwenye payroll? RCO na timu yake inaonekana viatu haviwatoshi. Wajitafakari
 
Kilimanjaro. Ni kati ya mikoa imbayo inawapa tabu sana wakuu wa mikoa wilaya maRPC kiasi ukiwa legelege kazi inakushinda ! Inatakiwa mtu mwenye maamuzi magumu na mwenye akili nyingi maana biashara ya magendo toka kenya na mirungi pia wahamiaji haramu toka somalia na ethiopia huingia kupitia kilimanjaro na Tanga!
 
Unasema sio dawa za kulevya wakati mtu akipatikana na hatia ya kusafirisha mirungi adhabu yake ni kifungo cha MAISHA jela?
 
Mirungu sio dawa za kulevya Tanzania tulidanganywa na mrema kwa kutaka misifa.Kenya wanasali kila siku Tanzania isiruhusiwe weendele kupiga hela.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unasema mirungi sio dawa za kulevya? Hebu chukua kilo 10 tu za mirungi pakia kwenye yako, then pita kwenye kizuizi chochote cha polisi halafu jilengeshe. Mwanangu adhabu ya kusafirisha mirungi ni kifungo cha maisha jela.
 
Kuna siku nilikua natoka Arusha naelekea Tanga kufika moshi stand tukapewa dk chache za kujisaidia nakumbuka nilivyooingia sehem ya kujisaidia nikakuta jamaa wanapeana mirungi niligeuza fasta kwenda sehem nyengine
Hawa jamaa wana akili sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna siku nilikua natoka Arusha naelekea Tanga kufika moshi stand tukapewa dk chache za kujisaidia nakumbuka nilivyooingia sehem ya kujisaidia nikakuta jamaa wanapeana mirungi niligeuza fasta kwenda sehem nyengine
Hawa jamaa wana akili sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Moshi ni shida. Ukienda Same nako ni shida. Ukiwa Moshi nenda hapo baa inaitwa Oriental Majengo. Kaa hapo kuanzia saa 5 hivi asubuhi. Haitapita saa 2 utaona mapikipiki yakitokea njia ya Dar kwenda Moshi yakiwa yamesheheni mafurushi ya mirungi. Huko maeneo ya Pasua na Bomambuzi biashara ni hiyo hiyo. Unajiuliza hii intelijinsa ya polisi ni kwenye mikutano ya vyama vya upinzani tu? Ni aibu kwa RCO kukaa ofisini na kujisifu ni crime buster wakati biashara ya mirungi inafanyika mchana kweupe
 
Siku moja niliwasifu kitengo kwasababu walinitaiti sehem
Nakumbuka kuna dogo alikua anaenda Arusha mjini kutoka moshi kwahio akataka nimsubiri tengeru kuna mzigo aniachie atarudi baadae ,,
Sasa wakati Nipo tengeru nilikaa mbali kidogo na kituo kosta ilivyofika kilishushwa ki briefcase cheusi hlf Gari ikaondoka dogo akapiga sim kunijulisha mzigo umeshuka

Wakati naenda kuchukua ghafla ikapaki vx v8 wakashuka jamaa wanne wamepiga suti
Wakasema umebeba nini?
Wakasachi wakakuta nguo wakasema tumechezewa mchezo wakasepa fasta wakaniacha wakenda kuiblock ile kosta
Ndo dogo akakutwa na mzigo wa kutosha kwenye briefcase kama ile alioishusha

Mpk sasa dogo yupo nyuma yq nondo
Alikosea hesabu msala ungeniangukia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku moja niliwasifu kitengo kwasababu walinitaiti sehem
Nakumbuka kuna dogo alikua anaenda Arusha mjini kutoka moshi kwahio akataka nimsubiri tengeru kuna mzigo aniachie atarudi baadae ,,
Sasa wakati Nipo tengeru nilikaa mbali kidogo na kituo kosta ilivyofika kilishushwa ki briefcase cheusi hlf Gari ikaondoka dogo akapiga sim kunijulisha mzigo umeshuka

Wakati naenda kuchukua ghafla ikapaki vx v8 wakashuka jamaa wanne wamepiga suti
Wakasema umebeba nini?
Wakasachi wakakuta nguo wakasema tumechezewa mchezo wakasepa fasta wakaniacha wakenda kuiblock ile kosta
Ndo dogo akakutwa na mzigo wa kutosha kwenye briefcase kama ile alioishusha

Mpk sasa dogo yupo nyuma yq nondo
Alikosea hesabu msala ungeniangukia

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh na wewe ungekua korokoroni
 
moshi mirungi inasafirishwa mchana kweupe miaka na miaka lakini hakamatwi mtu. ila ngoja kikao cha ndani cha chadema polisi wanakuja kama mia.

polisi wamepewa kipaumbele kupambana na upinzani uhalifu ni mengineyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom