Hlw wana jf wa jukwaa hili, mimi ni muhitimu wa kdto cha 6 mwaka huu, nmefaulu na kuchaguliwa kujiunga na chuo cha IFM dar cause ya banking and finance. Nlikua nategemea bodi ya mikopo ila nmekosa mpaka lot ya 4 na familia kiukwel haiwez kunisomesha kwan mpaka sasa najitegemea mwenyewe kwa kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.