Nimechoka na maisha ya upweke natafuta mpenzi kisha tukielewana tuwe mke na mume.
nina miaka 28 naishi Dar maeneo ya mbezi beach . kwa aliye serious naomba tuwasiliane namba 0718810898
Wana Jf tafadhari naomba kama kunamtu anajua dawa ya kuzibua mirija ya uzazi , kwani nimepima hospitali wamesema mirija imeziba siwezi kupata ujauzito.
Mama mmoja aliachana na mume wake muda kama miaka 12 hivi iliopita, baadae akapata bwana ambaye walikuwa wanakaa mbalimbali, ingawa alikuwa walikuwa wanatembeleana na mara nyingine analala hapo kwa mwanamke na mwanamke anaenda kwa bwana.
Sasa wameamua kufanya mipango ya kufunga ndoa ili waishi...
Habari zenu wana jf. Mchumba wangu nimemfumania na mwanamke mwengine na kwa hasira nikagombana na huyo mchmba wangu, pia niakenda kumwambia huyo mwanamke amwache mchumba wangu. Lakini mwanaume akasema mimi siwezi mwacha huyo mwanamke kwani nampenda.
Nikaamua kuondoka zangu lakini roho inaniuma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.