sasa wewe ulitarajia mto rufiji ukitema maji yaende wapi? bwawa lina uwezo wake wa kuhifadhi maji, yanayozidi lazima yaachiwe yaende mbele. Hapo uhujumu uko wapi?
Hizo 'impacts' zilitakiwa ziwe zimetengenezewa mpango wake mapema kabla ya kuanza ujenzi, na pia watu walitakiwa wawe wamehamishwa...
halafu pia kuna muda wa kusimama vituoni kushusha na kupakia abiria, hata kama ni dakika kumi kumi. Au likitoka Dar ndiyo kimoja mpaka Moro halafu Dodoma?
wewe mwenyewe muafrika huko mbali na hapo kwa muarabu kwa ukatili na ubaguzi. Mfano huko Congo au kwa wale watusi na wahutu, lakini bado unassema waafrika wote ni ndugu zako.
Hodari sana wa kusema ya wenzako lakini yako mwenyewe huyaoni.
ndiyo sawa lakini mimi nazungumzia yule mtangazaji aliyesema kuwa watoto arubaini wamechinjwa. Kwenye vita tunasema havichagui maana anaekufa atakuwa ni kizee au mtoto, kwa hivyo hata watoto nao wamekufa.
Halafu kama unasema hivyo wale waliochukuliwa mateka ambao wengine hawajapatikana mpaka...
kitengo cha propaganda na hata hicho kituo cha television kilichotangaza kilikuwa na uhusiano na Netanyahu. Jaribu kusikiliza na news kutoka sources nyingine (za hao hao wazungu lakini wasiopenda dhuluma za Israel) na utapata balanced information.
waliambiwa watoe ushahidi wakashindwa. Na ilifahamika kabisa wapi propaganda ile ilitokea, na yule aliyetangaza alipewa taarifa na jeshi la Israel yeye mwenyewe hakuona.
ni kweli wengine huwa wanajisahau kabisa na kusubiri baba afe wao warith, na wengine huenda mbali zaidi na kufanya mipango ya kumuua mzee ili wapate urithi mapema.
kwa hivyo hiyo ni kuwapa challenge wasilale lakini wachakarike ili kutafuta utajiri wao wenyewe na kuzionea uchungu fedha walizotafuta.
siyo nyumba ya ibada, ni floor moja ndiyo iliwachwa wakfu kwa chuo. Sasa huyo imamu ni tamaa tu.
Hapo hakuna makubaliano ni kwamba nyumba iuzwe kihalali, wote wakubaliane itolewe sehemu ya fedha ijengwe madrasa kwa jina la mwenye nyumba ili aendelee kupata thawabu zake. Kwa hali ilivyo hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.