Search results

  1. B

    Hata iweje tutalipenda taifa la Israel (taifa teule)

    Yaani wao waisrael wanafanya kwa kutojua, unayejua ni wewe? Eh! ngozi nyeusi shida kabisa.
  2. B

    Bado yuko fresh, baada ya miaka mia moja ya kifo chake

    internal organs huwa zinaondolewa wakati wa mummification
  3. B

    Maajabu ya Zanzibar,hawalimi,hawafugi lakini wanakula wanashiba

    lakini umeandika kwa dhihaka, kama vile Wazanzibari hawafanyi kazi, wanacheza dhumna tangu asubuhi na kusubiri kudura ya Mungu kupata chakula, kitu ambacho siyo kweli. Ungekwenda nje ya mji ukaona watu wanavyoshughulika tangu asubuhi mpaka jioni kwenye kilimo, uvuvi na mambo mengine.
  4. B

    Tanganyika iliitaka sana Zanzibar kuliko Zanzibar ilivyoitaka Tanganyika

    Siyo kwamba hatutaki muungano lakini hebu kwanza jiulize yafuatayo: - kwa nini muungano ulitokea fasta fasta bila hata majadiliano ya kueleweka? Mapinduzi ya Zanzibar yalitokea Januari 11 usiku, muungano umefanyika April 26 (siku ya kusaini) - ni kama siku 104 tu baada ya mapinduzi wakati hata...
  5. B

    Usiweke Hela benki zisizokuingizia chochote, Weka Hela zako kwenye masoko ya Hisa au fungua miradi

    Ila kwa soko la hisa la kwetu, mh! bora ninyamaze. Nimeweka fedha zangu nyingi kidogo kwenye Voda, mpaka leo wameingia mitini hatupati kitu, wala hatuwezi kuziuza hizo hisa, tumebaki njia panda. Natamani hata fedha yangu ningeinunulia kuku au samaki nikala nikashiba mwenyewe,
  6. B

    NI aibu mkuu wa nchi kukimbia hoja za kikokotoo Mei mosi na kutuma wawakilishi, hili kwake ni mwiba siku inakuja

    mimi naona wangeondoa hasa hii mifuko ya hifadhi ya jamii, wakawacha watu binafsi kuiongoza kama vile bima. Serikali ikajiondoa kabisa.
  7. B

    Ukweli mchungu: Zanzibar tunaishi kwa kudra za Tanganyika!

    bandari nono imekwenda wapi, na nani aliyesababisha iwe hivyo? huo upagani sijui athari yake inakuwa nini siwezi kutoa comment kwa hilo. Ongezeko hilo la population limesababishwa na nani? Na hiyo karafuu ni kweli haina thamani? Labda tujiulize kwa nini wenzetu akina Mauritius wanaweza sisi...
  8. B

    Kuna video inasambaa mitandaoni, kiingereza kwa Watanzania wengi ni shida sana!!

    rudi darasani ukajifunze kusoma na kuandika
  9. B

    Tufute Upotoshaji kuwa mwanaume na mwanamke ni Sawa.

    kawaulize wale akina mama wanaoendesha magari makubwa ya mafuta, je wamewezaje? Kwanza sijui nani amekwambia kuwa mwanamke akiwa kwenye siku zake basi tumbo hukoroga na kuvuruga. Kila mtu anareact kivyake vyake na kuna wengine hata hawana habari kwa siku kufika. Usichanganye vitu ukaweka wote...
  10. B

    Kuna video inasambaa mitandaoni, kiingereza kwa Watanzania wengi ni shida sana!!

    ukoloni mamboleo tu unakusumbua. Hivi wachina, wajapani wanaopiga kazi kwa lugha zao kuna shida gani? Halafu siku hizi kuna apps ambazo zinatafsiri kutoka lugha moja kwenda nyingine, tatizo ni nini sasa?
  11. B

    Ukweli mchungu: Zanzibar tunaishi kwa kudra za Tanganyika!

    namshangaa huyu mpenda misaada ya bure. Hivi Zanzibar kabla ya 1964 ilikuwa inaishi vipi? Au hivyo visiwa vingi tu vinavyojitegemea wenyewe vinajiendesha vipi? Na akumbuke tu kuwa Zanzibar ilikuwa mbele zaidi kielimu na kimaendeleo kabla ya muungano.
  12. B

    Kwanini Lucky Dube hatambuliki kama muasisi ama legend wa muziki wa reggae duniani?

    I believe Jimmy Cliff ndiyo wa kwanza kuitangaza reggae hata kabla ya hao akina Bob Marley kujulikana.
  13. B

    Kwanini Lucky Dube hatambuliki kama muasisi ama legend wa muziki wa reggae duniani?

    I wonder! nilidhani anataka kumzungumzia Jimmy Cliff, au angalau Peter Tosh
  14. B

    Usitarajie kuwa na ndoa imara kwa uzembe wako wa kwenda kuoa familia ya kiswahili swahili

    achana nae huyo hata kiswahili hakijui, ati 'usitalajie'...... kha!
  15. B

    Ninaogopa endapo Othman Masoud na Ismail Jussa wataamua kumjibu Tundu Lissu wa CHADEMA kuhusu Katiba ya JMT ya 1977 na Katiba ya Zanzibar ya 1984!

    umejuaje kama alishindwa kumshauri Mwenyekiti? Mtu akishauriwa anaweza kuupokea ushauri au la, kwa hivyo hiyo imebaki kama ni theory tu, na hasa kwamba uamuzi siyo wa mtu mmoja peke yake hata kama alikuwa Waziri.
  16. B

    Kauli ya Lissu ya Rais Mzanzibar ni matokeo ya kufumba masikio Tanganyika kuwa na Serikali yake na viongozi wake watakaoamua mambo yao, asilaumiwe!

    sijui ulipokuwa unaandika hii ulikuwa usingizini au vipi kijana wa zamani? Ati tumewatawalaje sasa, kwani Zanzibar ina uwezo wa kuchagua raisi, si huwa wanachaguliwa na nyinyi wabara au umesahau? Hiyo misitu yenu na mashamba makubwa na kila aina za madini mbona munalia njaa na bado ni moja...
  17. B

    Ninaogopa endapo Othman Masoud na Ismail Jussa wataamua kumjibu Tundu Lissu wa CHADEMA kuhusu Katiba ya JMT ya 1977 na Katiba ya Zanzibar ya 1984!

    kwani alikuwa mwenyekiti wa chama ambacho ndiyo chenye uamuzi wa mwisho? Hebu tueleweshe kidogo
Back
Top Bottom