Usiweke Hela benki zisizokuingizia chochote, Weka Hela zako kwenye masoko ya Hisa au fungua miradi

watu tumezika ela kwenye kujenga for almost 1yr, tunaishi kwetu na sasa tunakomaa na biashara, kupanga ni kuchagua asee, kuna watu kazi yao ni kusema ooh kujenga ni ujinga, wakati hana kwake na wala hana biashara....
Kujenga Kwa sisi waswahili ni basic, ukijenga Anza Sasa kuwekeza, usiweke mzigo benki idle.
 
Stock exchange ziko kampuni ambazo Toka ianzishwe hisa zake zinapaa kama TBL,TCC.kuna security/ Treasury bond,jishughulishe kupata Elimu hizo,utakuja kunishukuru. Mwenyewe niliamini hivyo,nimeona hasara niliyopata.ndio Maana nafundisha watu hapa buree
Mkuu em na swali kidogo, hivi ile system ya kuwekeza pesa halafu unakuwa unachukua kila mwezi inaitwaje mkuu,
 
Ila kwa soko la hisa la kwetu, mh! bora ninyamaze.

Nimeweka fedha zangu nyingi kidogo kwenye Voda, mpaka leo wameingia mitini hatupati kitu, wala hatuwezi kuziuza hizo hisa, tumebaki njia panda.

Natamani hata fedha yangu ningeinunulia kuku au samaki nikala nikashiba mwenyewe,
Mimi mbona niliziuza
 
Uko sahihi nilipoteza muda wangu kuweka hela benk na kuanza kujenga..nilifanya kosa kubwa mno kumbe ningepaswa nijiimarishe kibiashara ndo niweke hela benk na kujenga
Wakati unaweka Bank ulikuwa huingizi hela tena?
 
Uko sahihi nilipoteza muda wangu kuweka hela benk na kuanza kujenga..nilifanya kosa kubwa mno kumbe ningepaswa nijiimarishe kibiashara ndo niweke hela benk na kujenga
Wakati unaweka Bank ulikuwa huingizi hela tena?
 
JamiiForums




Najuta zaidi ya Tsh. 500m nimezika katika majengo, mtaji wa kufanyia biashara umepungua pa​

kubwa sana​

Habari wakuu, nawashauri msifanye makosa kama niliyofanya, ukipata pesa wekeza katika biashara na si majengo. Fursa nyingi zimenipita kutokana na mtaji kuwa mdogo sababu ya sehemu kubwa ya faida nilipokuwa naipata haikurudi kuwekeza katika biashara zaidi.

Matokeo yake wakati fursa naziona Sasa mtaji hautoshi bidhaa zingine nashindwa kuzinunua sababu mtaji hautoshi, sehemu ya faida haikurudi ktk biashara zaidi ya kwenda kwenye maujenzi ambayo hayaniingizii pesa ya maana tofauti na ambayo hizo pesa zingekuwa katika biashara.

Huisha fedha kwenye hayo majengo, weka collateral, chukua fedha uzungushie.

Thanks Quote Repl
Uza hayo malengo upate mtaji
Habar wakuu nawashauri msifanye makosa kama niliyofanya..ukipata pesa wekeza ktk biashara nasimajengo...fursa nyingi zimenipita kutokana na namtaji kuwa mdogo sababu ya sehemu kubwa ya faida nilipokua naipata haikurudi kuwekeza katika biashara zaid..
Matokeo yake wakat fursa naziona Sasa mtaji hautoshi bidhaa zingine nashindwa kuzinunua sabubu mtaji hautoshi sababu sehemu yafaida haikurudi ktk biashara zaid yakwenda kwenye maujenz ambayo hayaniingizii pesa yamaana tofauti na ambayo hizo pesa zingekua katika biashara
Click to expand...
Hiyo 500M uliipata kwa kudunduliza au ulipata kwa mkupuo?

Thanks Quote Reply
Repo
Kujenga ni addictive sana, unaweza jengea mtaji usipokuwa makini ila it worth it, biashara unazoziona leo 25yr later unaweza usizikute ila nyumba unazoziona leo 25yrs zitakuwepo vilevile
Uza majengo mengine.
Na ungekuwa umehonga hizo hela ungesemaje? Si ungekufa kabisa
Usilalamike sana Bali shukuru hata umejenga maana biashara zina mambo mengi pia unaweza kukimbiza sana na zikaja kuporomoka ghafla ukajikuta hata hujajenga ulikuwa unakuza tu biashara.
Hiyo 500M uliipata kwa kudunduliza au ulipata kwa mkupuo?
Amesema akipata faida aliwekeza kwenye ujenzi so obvious alidunduliza biashara ikadumaa.

Majengo hayo nenda bank weka dhamana chukua mkopo mbona mambo yanawezekana
Uza hayo malengo upate mtaji
Mkuu kwa saa hizi nikiuza hayo majengo nitakua kama napata hasara tu maana Yako sehemu potential sana kwa baadae, baada ya miaka 10 pesa yake ni ndefu mno nikisema nipauze.

Kujenga ni addictive sana, unaweza jengea mtaji usipokuwa makini ila it worth it, biashara unazoziona leo 25yr later unaweza usizikute ila nyumba unazoziona leo 25yrs zitakuwepo vilevile
Ni kweli usemalo ila kama pesa hiyo nisingewekeza ktk majumba Leo hii ningekuwa na uwezo wa kujenga majengo ya thamani hiyo maana mzunguuko wa biashara ungekuwa mkubwa sana sababu ya mtaji ni mkubwa na faida ingekua maradufu.
Uza majengo mengine.
Na umekuwa umehonga hizo hela ungesemaje ? si ungekufa kabisa
Kuyauza ningumu kwa Sasa maana yapo sehemu nzuri sana..nkiuza kwa Sasa ntajuta maradufu zaid hapo baadae maana yapo eneo zuri baadae miaka10 naweza pata Hela mara Tano zaid ningeuza sasa

Nikweli usemalo ila kama pesa hiyo nisingewekeza ktk majumba Leo hii ningekua nauwezo wakujengo majengo ya thamani hiyo maana mzunguuko wa biashara ungekua mkubwa sana sababu ya mtaji ni mkubwa nafaida ingekua mar
Hiyo 500M uliipata kwa kudunduliza au ulipata kwa mkupuo?
Mkuu hujaelewa sio mkupuo unajenge sehemu ya ongezeko ktk mtaji wako Kila mwaka assume umeanza biashara January na mtaji wa 100m Hadi kufika desemba umefanya stocking umekuta mtaji imeongezeka mpaka kufukia m220 maana yake umekuza mtaji kwa m110 so hiyo 110 au nusu yake unaanza wekeza ktk majengo badala yakuiacha izunguushe ktk biashara au uanzishe biashara mpya

Habar wakuu nawashauri msifanye makosa kama niliyofanya..ukipata pesa wekeza ktk biashara nasimajengo...fursa nyingi zimenipita kutokana na namtaji kuwa mdogo sababu ya sehemu kubwa ya faida nilipokua naipata haikurudi kuwekeza katika biashara zaid..
Matokeo yake wakat fursa naziona Sasa mtaji hautoshi bidhaa zingine nashindwa kuzinunua sabubu mtaji hautoshi sababu sehemu yafaida haikurudi ktk biashara zaid yakwenda kwenye maujenz ambayo hayaniingizii pesa yamaana tofauti na ambayo hizo pesa zingekua katika biashara
Click to expand...
Umeshindwaje kuchukua mkopo kwa kuweka dhamana hayo Majengo mkuu?

Habar wakuu nawashauri msifanye makosa kama niliyofanya..ukipata pesa wekeza ktk biashara nasimajengo...fursa nyingi zimenipita kutokana na namtaji kuwa mdogo sababu ya sehemu kubwa ya faida nilipokua naipata haikurudi kuwekeza katika biashara zaid..
Matokeo yake wakat fursa naziona Sasa mtaji hautoshi bidhaa zingine nashindwa kuzinunua sabubu mtaji hautoshi sababu sehemu yafaida haikurudi ktk biashara zaid yakwenda kwenye maujenz ambayo hayaniingizii pesa yamaana tofauti na ambayo hizo pesa zingekua katika biashara
Click to expand...
Pole sana mkuu. Ndio kujifunza huko.
Habar wakuu nawashauri msifanye makosa kama niliyofanya..ukipata pesa wekeza ktk biashara nasimajengo...fursa nyingi zimenipita kutokana na namtaji kuwa mdogo sababu ya sehemu kubwa ya faida nilipokua naipata haikurudi kuwekeza katika biashara zaid..
Matokeo yake wakat fursa naziona Sasa mtaji hautoshi bidhaa zingine nashindwa kuzinunua sabubu mtaji hautoshi sababu sehemu yafaida haikurudi ktk biashara zaid yakwenda kwenye maujenz ambayo hayaniingizii pesa yamaana tofauti na ambayo hizo pesa zingekua katika biashara
Click to expand...


Yauze, kama una majengo yenye thaman ya 500m, huwezi kosa 350m urekebishe makosa yako.

Kwa mfanya biashara aliyepata pesa kwenye biashara, hawezi kuacha kuheshimu mtaji wa biashara.

Hii kama si chai ni bahati, nitakupa mfano:

1. Kama hiyo 500m imetoka kwenye biashara, then mtaji wako lazima uwe over 1.5bn.

2. Kama hiyo hela ya mtaji umetumia kwenye majengo, biashara ambayo imekupa pesa yote, unatakiwa u kafanye ct scan.

3. Mfanya biashara, mwenye ile akili ya kutengeneza hiyo pesa, hawezi kutokujua kwamba majengo (unless yako kwenye very prime area) hayana faida,

Hence:

Hii ni ya Tangawizi na cocoa, chai ya kibabe.
Huisha fedha kwenye hayo majengo,weka collateral,chukua fedha uzungushie
Bank za kibongo interest kubwa 80% chances ukikopa hiyo nyumba inaondoka, 20% interest rate siyo mchezo biashara ikiyumba tu watu kama walikuwa wanaitamani nyumba yako ndio inaondoka unabaki huna hela wala nyumba,
Nchi nyingi interest ni kati ya 7 to 10 %

Usilalamike sana Bali shukuru hata umejenga maana biashara zina mambo mengi pia unaweza kukimbiza sana na zikaja kuporomoka ghafla ukajikuta hata hujajenga ulikua unakuza tu biashara.
Mkuu Hadi nakua namawazo sio kwamba mtaji hakuna ila hautoshi imagine biashara nazofanya almost zinahitaji walautaji wa m800 ila mtaji unajikuta uko 150m

Yauze, kama una majengo yenye thaman ya 500m, huwezi kosa 350m urekebishe makosa yako.

Kwa mfanya biashara aliyepata pesa kwenye biashara, hawezi kuacha kuheshimu mtaji wa biashara.

Hii kama si chai ni bahati, nitakupa mfano:

1. Kama hiyo 500m imetoka kwenye biashara, then mtaji wako lazima uwe over 1.5bn.

2. Kama hiyo hela ya mtaji umetumia kwenye majengo, biashara ambayo imekupa pesa yote, unatakiwa u kafanye ct scan.

3. Mfanya biashara, mwenye ile akili ya kutengeneza hiyo pesa, hawezi kutokujua kwamba majengo (unless yako kwenye very prime area) hayana faida,

Hence:

Hii ni ya Tangawizi na cocoa, chai ya kibabe.
Click to expand...
Ukweli ni kwamba majengo kama siyo prime area ni wastage of money baadae ukiyumba hayakusaidii labda uuze
 

Attachments

  • 1714854215720.gif
    1714854215720.gif
    42 bytes · Views: 4
  • 1714854215800.gif
    1714854215800.gif
    42 bytes · Views: 4
  • 1714854215872.gif
    1714854215872.gif
    42 bytes · Views: 6
  • 1714854215939.gif
    1714854215939.gif
    42 bytes · Views: 4
  • 1714854216070.gif
    1714854216070.gif
    42 bytes · Views: 6
  • 1714854216002.gif
    1714854216002.gif
    42 bytes · Views: 6
  • 1714854216143.gif
    1714854216143.gif
    42 bytes · Views: 3
  • 1714854216208.gif
    1714854216208.gif
    42 bytes · Views: 4
  • 1714854216275.gif
    1714854216275.gif
    42 bytes · Views: 4
  • 1714854216339.gif
    1714854216339.gif
    42 bytes · Views: 4
  • 1714854216402.gif
    1714854216402.gif
    42 bytes · Views: 3
  • 1714854216475.gif
    1714854216475.gif
    42 bytes · Views: 4
  • 1714854216555.gif
    1714854216555.gif
    42 bytes · Views: 3
  • 1714854216639.gif
    1714854216639.gif
    42 bytes · Views: 4
  • 1714854216752.gif
    1714854216752.gif
    42 bytes · Views: 4
  • 1714854216833.gif
    1714854216833.gif
    42 bytes · Views: 3
  • 1714854216913.gif
    1714854216913.gif
    42 bytes · Views: 4
  • 1714854216988.gif
    1714854216988.gif
    42 bytes · Views: 4
  • 1714854217061.gif
    1714854217061.gif
    42 bytes · Views: 4
  • 1714854217137.gif
    1714854217137.gif
    42 bytes · Views: 4
  • 1714854217217.gif
    1714854217217.gif
    42 bytes · Views: 4
  • 1714854217294.gif
    1714854217294.gif
    42 bytes · Views: 4
  • 1714854217375.gif
    1714854217375.gif
    42 bytes · Views: 4
  • 1714854217456.gif
    1714854217456.gif
    42 bytes · Views: 4
  • 1714854217524.gif
    1714854217524.gif
    42 bytes · Views: 4
  • 1714854217581.gif
    1714854217581.gif
    42 bytes · Views: 4
  • 1714854217642.gif
    1714854217642.gif
    42 bytes · Views: 4
  • 1714854217701.gif
    1714854217701.gif
    42 bytes · Views: 4
  • 1714854217759.gif
    1714854217759.gif
    42 bytes · Views: 3
  • 1714854217822.gif
    1714854217822.gif
    42 bytes · Views: 3
Huko kwenye hisa weken hela nyingi sasa sio Una laki2 unaweka kwenye hisa😀😀 walao milion30+ ,
 
Kawaida ya Waajiriwa wengi, kuweka Akiba, Saving account kwenye benki zetu, kwaajili ya usalama. Account hizo kuna ledger fee unalipa, huingizi chochote.

Nikushauri, wekeza kwenye masoko ya Hisa, akiba yako itaongezeka Kila mwezi, Kwa riba utakayokuwa unalipwa.

Usipate hasara, kusubiri mpaka ustaafu ndio ufungue Miradi, utafeli, Biashara Zina hatua za kujifunza na kufanikiwa, ambazo zinachukua miaka sio chini ya mitatu n.k.

Amka usingizini. Mungu akubariki.
Shida ni kujua sehemu gani ya kuweka hisa kama unajua naomba nisaidie
 
Back
Top Bottom