Pangekuwa na unafuu kama wangekuwa wanalinda maslahi ya walio nacho wazalendo tu, tatizo wanalinda ya mabwana zao wa kutoka mataifa ya kigeni, ndio maana wakipewa masharti na vyombo kama IMF na World Bank wanayakubali haraka. Ndio maana wawekezaji wa kigeni ndo wameshikiria uchumi wa nchi kwa...
Kutoka wikipedia; historia na habari za jiji letu kuu
Dar es Salaam (Arabic: دار السلام‎ [translation: "house of Peace"] Dār as-Salām), formerly Mzizima, is the largest city in Tanzania. It is also the country's richest city...
Ting Ting,
Sio lazima mwenyekiti ndio agombee urais. Kwa mfano, mwaka 2005 NCCR-Mageuzi mgombea wake wa Urais alikuwa Dr.Sengondo Mvungi; hajawahi kuwa mwenyekiti wa chama hicho.
Kuhusu katiba, hebu tembelea www.nccrmageuzi.or.tz/
sofapaka wanataka kufanya fujo lakini vijana wa FFU wanadhibiti hali wakiwa na lile gari 'kikojozi' tayari tayari. wakati huo huo mwali anawekwa tayari ili mwenye apewe!
Ilikuwa siku ile wainzani walipojidai wameungana. ndipo akaulizwa Makamba; wauonaje muungano wa cuf,chadema,nccr, na tlp? akasema; hao ni kama paka wamefungiwa mikia kwa pamoja, wakiwekewa maziwa kila mmoja atajivuta upande wake kuyafukuzia hayo maziwa. Kwani kilienda mbali!, Chacha Wangwe...
NCCR yataka wananchi Kigoma wapewe mamlaka ya kujiongoza
na Jacob Ruvilo, Kigoma
MWENYEKITI wa Chama cha NCCR- Mageuzi, James Mbatia, ameitaka serikali kuwapa wananchi wa mkoa wa Kigoma mamlaka ya kujiongoza ili kujiletea maendeleo kwa kuwa viongozi wote wa awamu nne za utawala nchini...
Source: Habarileo 9th December, 2009
Katika mkutano huo, Halmashauri hiyo ilipitisha majina ya watu walioteuliwa kuongoza Idara mbalimbali za Sekretarieti ya chama hicho ambapo aliyekuwa Ofisa Habari wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), David Kafulila, ameteuliwa kuwa Mkuu wa Idara ya...
Siku akitoka (kama hiyo siku ipo) tuta/watakaa chini kujiuliza; hivi kutoka kwake kulianzaanza je? Ndipo wanasayansi ya siasa watakapoibuka na nadharia nyingine kuhusu mambo yasababishayo wanasiasa kutoka au kuama vyama nchini Tanzania.
Chanzo hakitakuwa kingine, kuchukua fomu ya ukigoda wa...
Danda amepangiwa kazi katika idara ya Organazesheni, kampeni na uchaguzi, makao makuu ya chama.
Kafulila atakuwa katika idara ya habari na uenezi, pale pale makao makuu
Halmashauri kuu ya chama cha NCCR-Mageuzi imemaliza kikao chake cha siku mbili jijini Dar, leo jioni.
Katika kikao hicho, wanachama wapya waliohamia kutoka chama kingine walihudhuria kama waalikwa, na habari za uhakika ni kwamba kikao hicho kimeidhinisha kazi maalum walizopewa na Katibu Mkuu...
chura na umakini wapi na wapi.
umakini uliharibika pale walioanza kuwaita wenzao majina ya ajabu, mara chama fulani mfu , ooh fulani sisimizi. Mkuki kwa nguruwe, 'msibate ushungu yakhe'
Hivi ni kufua au kufulia?
By the way unajua mtu anaweza akafua/fulia positively au negatively, suppose katika context inayotumika hapa, ni kwamba wamefulia kadi za chadema kwenye kombati, hiyo imekaaje?
Jujuman aliyetimuliwa CHADEMA, sasa naye kakabidhiwa rasmi kadi ya uanachama wa NCCR. Wakati mwenzake kafulila alisema lengo lake katika chama hiki ni kujenga upinzani imara, Jujumani anasema NCCR (kwake yeye) ni tumaini jipya.
Haya bwana, who's next?
slogan ya ari nguvu na kasi ilitumiwa kwa mara ya kwanza na BWM katika hotuba ya mwezi, in 2001, wakati akielezea jinsi baraza lake la mawaziri litakavyotenda kazi baada ya kupigwa msasa katika semina. Jk has never been the author of the slogan, sema tu aliitamka kwa smile tofauti na BM...
Nasikia the guy went back baada ya kuitwa kwenye kikao cha suluhu. Hata hivyo aliondoka nchini baada ya hapo, sijui alipozwa kwa hela (scholarships) za Rostam!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.