List inajitosheleza mkuu...safi! Ila haitaji Electronic microscope(ikiwa unamaanisha "electron microscope" ambazo Tanzania nzima sidhani kama zipo hata 5...zaidi zinatumika kwenye research centres kubwa tu), ila Light microscope ya kawaida tu ingetosha.
Mchora katuni kajaribu kusadifu mazingira....wacheza sumo daima huwa ni wanene na wana matumbo, na si watu wenye misuli tuu. Pia, sasa hivi uongozi wa UKAWA unagombewa na watu 2, si kama wakati ule wa CCM ambako walikuwa wengi...so namna nzuri ya kupresent hilo ni kwa kutumia wacheza mchezo wa...
Kiasi, ila si sana. Mimi natumia HDMI cable, ila sioni tofauti sana na mtu anayetumia component cables...na nadhani sababu channels zao nyingi ni SD, na si HD. Za HD utaziona vizuri zaidi, ila SD zitakuwa kawaida tu
Hakuwaandikia barua wanafunzi wa mwaka wa kwanza kuwataka walipe ada ya zamani...yeye hana mandate hiyo. Alichofanya ni kucite barua ya TCU kwa chuo inayowaagiza wasipandishe ada hadi system ya kukadiria ada itapokamilika....baas
Hakuna siasa aliyoleta mkuu. Tatizo la Ada KCMC na la muda mrefu, na kilichotokea ni kuwa continuing students ada ilipandishwa kwanza, tena kiholela, ikabidi serikali ya wanafunzi itafute solution kupitia TCU ambayo ndiyo inayopanga na kuruhusu kiwango cha ada watozwayo wanafunzi. Baada ya...
Kwetu wanaweza wakawepo, ila si wengi kama unavyoiput. Na zaidi si kitu kilichokuwa documented hivyo kufahamu hasa idadi si rahisi. Ila based on cases nilizowahi kuziona clinic naweza kusema mi chache out of watu wote waliokuja kupima. Sasa hao wa jamiiForums unaowasema mkuu, je, ni documented...
Ninachofahamu kutokana na theory ya Microbiology na uzoefu kidogo ni kuwa huo uwezekano upo, lakini ni mdogo sana. Kuna takriban asilimia 5 ya watu ambao seli zao nyeupe zinakosa receptors muhimu kwa ajili ya virusi kuingia ndani ya miili yao, hivyo hata wakikitana na mtu mwenye VVU, kwao kupata...
Mimi niko Moshi pia na sijaziona hizo channels zilizoongezwa. Kwenye facebook page yao Azam wanasema mpaka kufikia tarehe 10 itakuwa zimeongezwa kwa kila mtu. Sasa hivi wanafanya majaribio tu!
Basi watafute tu....watakusaidia. Hii ni namba yao ya WhatsApp 0759 386568. Sijui kama unaweza kuwapigia, ila wako very active WhatsApp. Wanakusaidia right away.
Kabla ulikuwa unatumia kifurushi kipi mkuu? Kama ni mara ya kwanza unatumia cha 20,000 then huwa inabidi uwasiliane nao(azam) wakuhamishie kwenye cha 20,000 kama sijakosea.
Matiti ya mwanamke ikiwa yanatoa maziwa(ambayo ni moja kati ya majimaji ya mwili-yani body fluids) basi yanakuwa yamebeba VVU. Kupata au kutopata kutategemea na jinsi njia yako ya mfumo wa umeng'enyaji chakula(Gastrointestinal tract) ilivyo. Ikiwa itakuwa na michubuko popote pale kuanzia mdomoni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.