BOT walishasema zamani sana kuhusu aina hii ya biashara ya utapeli mtandaoni. Yaani mnajiunga uchochoro ni huko halafu mnakuja kulalamika hadharani baada ya kuigwa. Who to blame zaidi ya udhaifu wenu wa kutaka pesa za miujiza?
Watu wanajiunga bila kuihusisha serikali wakipigwa wanaihusisha. Kampuni zinasajiliwa kwa ajili ya kazi nyingine wakishasajiliwa wanaanzisha wizi huu. Cha muhimu ni jamii kujua namna ya kujiepusha na aina hii ya utapeli. Wanapoingia na kutoa vitita vyao hakuna anaelalamika au kutoa report kwa...
Hizi comments za kuonyesha nani ni nani zimeshamiri siku hizi. Mnazitoa kwa faida ya nani? Wakishukiwa Zanzibar, Dar es salaam Kilimanjaro au popote yote ni heri tu.
Zanzibar ni maarufu kwa utalii wa fukwe. Ni wazi wageni wengi wanaoingia kwa ajili ya mapumziko watakwenda Zanzibar moja kwa...
Habari wadau.
Nina miliki website tatu kwa sasa na ninafikiri kuongeza moja hivi karibuni. Kila aliyenitengenezea website aliweka package ya domain name na hosting kwa mwaka mmoja bure. Baada ya mwaka nikaanza kulipia domain name na hosting ambayo kwa website 3 si haba.
Nimefikiria kununua...
Kwamba Ndugai ndio Bunge?? Yaani maazimio ya Bunge yakaelezwe na Ndugai kwenye kilao cha kabila?
You are not serious brother. Anaisimamia vipi serikali kwa kuisema kwenye maeneo ambayo hawapo? Au pale alikuwepo mwakilishi wa serikali ili ajibu au achukue report?
We Mdini sana!
Leta data kwenye yafuatay:
Kwenye mawaziri waislam ni % ngapi?
makatibu wakuu waislam ni % ngapi?
Wakuu wa Mikoa waislam ni % ngapi?
Wakuu wa wilaya waislam ni % ngapi?
Wakurugenzi walioteuliwa majuzi waislam ni % ngapi?
Hivi hizi tabia za kujadili teuzi kwa kuangalia dini zao...
Wataalam habari zenu. Naomba msaada wenu kama itawapendeza.
Bila kufahamu nilifanya updates ya window 10 na kujikuta tayari imekuwa window 10 pro na sasa inaomba nifanye change of key.
All microsoft softwares zimesimama kufanya kazi. Microsoft offices zimegima, outlook nayo imegoma.
Please...
Kwanza huna adabu, tatizo watanzania tunataka kupata utajiri kwa haraka. Tunataka tuwaibie ndio maana tunawapenda wazungu. Na hao wazanzibar unawasema wewe wanawapenda wazungu hasa wakike ili wapate vitonga.
Black Americans hapa ni kwao ni muda sasa wa kuwawekea mazingira ya kurejea na kuja...
Walianza kuja akiwa bado yuko hai na hakuna kilichofanyika japo kuwavutia waje zaidi. Na Kabudi alipoulizwa kuhusu hili kwa kutoa macho alionesha namna sheria zetu haziko rafiki kwao.
Umeongea facts sana.
Ninawafahamu wengi sana wamehamia Tanzania japo changamoto za visa na namna nchi inavywatambua bado ni kikwazo.
Wamerekani weusi wanaanza kuamini kuwa marekani si kwao tena kutokana na ubaguzi uliokithiri na visa vya kuuana wao kwa wao (mass shooting). Pia hali ya usalama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.