nina rafiki mtanzania anataka kuanzisha kamradi hapo tanzania!!je ni biashara gani inaweza lipa fresh hapo Tz! ikiwa pesa ya mradi ni kama milion 25 za tz?
niko mbali naTz, nje Tz kama miezi tisa hivi, nilipoondoka kulikuwa na fununu za mlisho ngassa kawin deal kwenda kucheza soka la kulipwa majuu ila story naona imefifia.nini kulikoni?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.