Search results

  1. mponjoly

    Ushauri jamani!!

    nina rafiki mtanzania anataka kuanzisha kamradi hapo tanzania!!je ni biashara gani inaweza lipa fresh hapo Tz! ikiwa pesa ya mradi ni kama milion 25 za tz?
  2. mponjoly

    hivi nini kilitokea kwa Mrisho Ngassa kwenye mechi za majaribio?

    niko mbali naTz, nje Tz kama miezi tisa hivi, nilipoondoka kulikuwa na fununu za mlisho ngassa kawin deal kwenda kucheza soka la kulipwa majuu ila story naona imefifia.nini kulikoni?
Back
Top Bottom