Huu ujinga mnafanya hausaidii nchi yetu. There is nothing wrong wananchi kuchanga. Na Kwa taarifa Yako tu ni kwamba hii barabara ipo budgeted kwenye dmdp 2 na kazi soon itaanza ila wananchi wameona wafanye jambo wakati wanasubiri serikali which we all appreciate. Unachokifanya wewe hapa kusema...
Hali ya Corona imeitikisa sana dunia. Utulivu wa Magufuli kwenye hili janga unafikirisha sana. Na huenda wasio na utulivu ndio waliomkebehi na kumtukana. Well, muda utasema, japo tayari binafsi nimejifunza utulivu kwenye upambanaji na majanga.
Leo nimeulizwa na mfanyakazi mwenzangu unaonaje kauli za Chalamila nikakosa jibu. Sina jibu. Naumia zaidi kwa sababu Ukuu wa Mkoa ni nafasi kubwa sana ya uongozi inayonihitaji kuiheshimu. Ila najiuliza, Kiongozi ain aya Chalamila nampaje heshima? Ngumu sana. Wanangu wanaangaliaje video ya...
Ukiwa na mamlaka huwezi mfahamu mchina. Akitaka favour kwako au kama una maamuzi juu yake hutimfahamu asilani. Ukiwa chini yake we we ni mbwa tu. Wachina katili sana nakubali. Na ni washenzi kweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.