Ndugu zanguni habari za usiku leo nakuja na jambo langu tushirikiane kuumiza vichwa.
Jamani huku polisi usalama barabarani naomba kujua kiburi Chao hutoka wapi kwa mabosi zao, madereva?
Nasema mabosi zao kwasababu, halina ubishi kuwa mafanikio ya polisi trafiki nyuma yake ni dereva katoa jasho...
Ndugu zangu wana jamvi wenzanzangu, wtz wenzanzangu, habari za asubuhi,, nitumsini langu mko poo
Leo napenda tujadili sukari kidogo, niliwahi kusikia ni marufuku kuagiza sukari nje ili kulinda maslahi ya mlaji Hilo ni tamko la serikali kupitia waziri mkuu na waziri mwenye dhamana pia aliekuwa...
Nauza Toyota Brevis bado mpya kabisa
Gari anatumia mzungu yupo Arusha
Gari iko vizuri sana
Full ac
Full documents
Bei milion 9.5
Nipigie 0719909692
0763166893
Karibuni
Hii gari nauza gari bado mpya kabisa
Gari injini mdogo
Imekamilika kila idara
Full ac
Full documents
Bei milion 7.5 fexd
Nipigie 0719909691
0763166893
Karibuni
Toyota premio
Year 2004
Cc 1490
New tyre
Full document
Price ml.13
Gari nzuri sana ipo Dar es salaam
0719909691 / 0763166893
Karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wana jamvi,, Ni matumaini yangu kuwa wote tuwazima wa afya popote tulipo na ikiwa kuna mgonjwa isiwe CORONA, Basi mungu amnusuru na maradhi ampatie afya njema,, Ipo hivi leo nimefanya mizunguko yangu ya siku na baadae nikaona nimalozie siku kwenye mamlaka ya vitambulisho vya taifa...
Gari inapatikana Dar
Gari nzuri sana imetunzwa mno
Bei million 30
mazungumzo yapo
Namba ya simu piga au
text whatsapp
0719909691
0763166893
0787107395
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo viwanja vya wakala wa minada ya mahakama Yono Auction Mart, muda huu, makubaliano ni mnada uanze SAA 4 kamili.
Sasa kutokana na hali ya watu walivyo wengi na kiingilio cha elfu 30 wameamua kuvunja utaratibu kwa tamaa ya kupokea elfu 30 nyingi wameamua mpaka watu waishe mpaka sasa...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu naitaji vitz R's namba D nzuri lazima iwe imetengenezwa kuanzia 2003 Kuendelea,, gari nzima hasa budget yangu milioni 6 kama unayo nicheki kwenye WhatsApp 0763166893 au piga 0719909691 nipo Dar es salaam
Wa jamvi habari za jioni hii; Kwanza nashukuru sikukuu ya idd imeisha salama salimini..
Naomba nianze na kastory kakweli halafu nitapenda ushari wa kisheria na mengineyo,,
Ilikuwa ni juzi j3 ya tarehe 20 nikiwa katika utafutaji wangu wa mkate wa watoto wangu,, Mimi ni Dereva,, siku hiyo ya j3...
Wa jamvi habari za jioni hii; Kwanza nashukuru sikukuu ya idd imeisha salama salimini..
Naomba nianze na kastory kakweli halafu nitapenda ushari wa kisheria na mengineyo,,
Ilikuwa ni juzi j3 ya tarehe 20 nikiwa katika utafutaji wangu wa mkate wa watoto wangu,, Mimi ni Dereva,, siku hiyo ya j3...
Wa jamvi habari za jioni hii; Kwanza nashukuru sikukuu ya idd imeisha salama salimini..
Naomba nianze na kastory kakweli halafu nitapenda ushari wa kisheria na mengineyo,,
Ilikuwa ni juzi j3 ya tarehe 20 nikiwa katika utafutaji wangu wa mkate wa watoto wangu,, Mimi ni Dereva,, siku hiyo ya j3...
Wa jamvi habari za jioni hii; Kwanza nashukuru sikukuu ya idd imeisha salama salimini..
Naomba nianze na kastory kakweli halafu nitapenda ushari wa kisheria na mengineyo,,
Ilikuwa ni juzi j3 ya tarehe 20 nikiwa katika utafutaji wangu wa mkate wa watoto wangu,, Mimi ni Dereva,, siku hiyo ya j3...
Wa jamvi habari za jioni hii; Kwanza nashukuru sikukuu ya idd imeisha salama salimini..
Naomba nianze na kastory kakweli halafu nitapenda ushari wa kisheria na mengineyo,,
Ilikuwa ni juzi j3 ya tarehe 20 nikiwa katika utafutaji wangu wa mkate wa watoto wangu,, Mimi ni Dereva,, siku hiyo ya j3...
Habarini za usiku huu poleni na majukumu ya weekend
Katika pitiapitia mitandaoni, nimkuta Mama wema akilalamika kuwa wema kapata mzazi mwingine nakusahau kumuomba shauri, amelalamika nakudai cdm iliwabeba na kuwasaidia wakiwa na shida lakini leo wema kamvua nguo na kurudi ccm, pia amedai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.