Kuna ambao walikuwa wauza uji mgodini ila kwa sasa ni matajiri wa kutupwa....biashara ya madini ina sehemu mbili...inaweza kukutoa mpaka kila mtu akashangaa na kutamani kuwekeza kwenye madini na inaweza kukufilisi mpaka ukawa chizi...nina mifano hai kabisa...
Ni SGR mkuu, aliyewaambia ni high speed (Bullet train) aliwadanganya mchana kweupe, hii ya kwetu inaweza hata isifike 180km/hr..... nadhani itakuwa between 100 and 150km/hr max
Binafsi, Ile habari kwamba ndege matairi yaligoma kutoka naona Ina mashiko, na itakua ndio sababu kubwa ilimshawishi rubani kutua kwenye maji.
MKuu tairi huwa hazitolewi ndege ikiwa inakaribia kugusa runway...zinatolewa mapema kabisa ndege ikiwa angani huko ili kama zikigoma kutoka rubani...
Kumbe inawezekana kama pangekuwepo na plain surface mfano wa uwanja wa kuchezea mpira wa miguu, ile ndege ingeweza kutua salama na abiria wote wangeokoka
kABISA MKUU...HILI LILISHATOKEA HUKO DUNIANI TENA MARA NYINGI TU
Naunga mkono Hoja....mdogo wa Ex wangu kafia kwenye hyo ajali...nimeumia sana maana she was still very young and beautiful....na alikuwa anamfuata mchumba wake Bukoba....nimeumia sana sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.