mimi kuna mtu alinisingizia mambo mengi tu hiyo ni baada ya kumfuma kwenye tank langu anaiba maji na hapo tulikuwa tumenuniana nikaamua kumshtak kwa mwenye nyumba wacha anishuhudie uongo ambao hata sikuwah kuuona dunia hii kubwa zaid akanisingizia natembea na mumewe jaman wakat huyo kaka hata...
i wish ningekuwa na muda ningeutumia kupitia uzi huu huu kutoa elimu, ukimwi upo kwa sis tunaoudhuriaga clinic kila mwez tuna ona jins watu wanavyokuja wengine wakiwa katika hali mbaya, yan watu ni wengi ni wengi ni wengi chunga sana my dear usipate, kwa jins tulivyo weng wenye HIV sidhani kama...
Si kweli mkuu necta A wanatoa vizuri tu mbona mimi kuna somo nimesimanisha banda na umri wangu umeenda tu mana nilimaliza form four 2009 nikapata credit moja tu . Mwaka jana nikarisit nikapata A B B D D
Unawza kuona ushauri wangu wa masihara na kuudharau ila ndio msaada kwako....Kula karanga mbich kiasi kila unapohisi kiungulia, uje unipe feedback sawa?
Unaweza ona ushauri wangu ukaona ni wa masihara na kuudharau ila ndo msaada kwako jaribu kula kiasi kidogo cha karanga mbichi kila unapohisi kiungulia..afu uje unipe feedback
Pole sana inatokea sometimes kila mtu na damu yake na ndo mana hata kwenye dawa za madukan mi naweza nikatumia mseto nikapona malaria ila mwingine ukamdhuru na asipone kabisa. Pole tena.
Subira yavuta heri ndugu yangu kupata kazi utapata ila ndo hivo uwe na subira...wapo wenye vibarua na wanaohitaji kuwasaidia wenzao subiri wajitokeze....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.