Habari wakuu,
Samahani, nahitaji kununua touareg ya petrol naomba msaada kwa wenye uzoefu nazo kujua uimara wake, upatikanaji wa spare, utengenezaji wake, uwepo wa mafundi na mengine mengi yanayohusu hizo gari. Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Habari wakuu, nauza mashuka pure cotton mazuri sana na hayachuji, 35kwa pic 1ya 6*6na foronya mbili, na 70,000 kwa mashuka 6*6 na foronya nne. Karibuni sana
Habari za jioni wakuu, Ninafikiria kuigiza gari aina ya Nissan pathfinder Japan lakini kabla ya hapo naomba mnisaidie kujua kama haya magari yana matatizo na pia spare Zake upatikanaji na cost zikoje. Natanguliza shukrani za dhati
Pole sana, kwa ushauri wangu peleka hiki suala mamlaka ya mawasiliano kwa Msaada Wa polisi mtrace number ambazo huyu jamaa alikuwa anawasiliana nazo closely ili muwakamate hao watu wasaidie kumpata huyo tapeli. Usisahau kuliweka hill suala mikononi mwa Mungu akusaidie kwa kila hatua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.