Kama unataka kusema nimekuwa nikiandika ila unamanisha sitaandika tena unatumia I have written hii ni Present Perfect Tense, ila kama unasema nimekuwa nikiandika na nitaendelea kuandika unasema I have been writing hii ni Present Perfect Continuous tense
ya kwanza inaongelea kilichofanyika na...
Mimi sio mpenzi wa secular musics ila mafanikio ya Diamond yananipa raha na kujifunza kila siku.
Diamond ni fundisho kubwa kwa watanzania, kuwa haijalishi background yako, jitihada zako katika kipaji ulicho nacho zitakutoa tu, Kijana anajichanganya tu na anazid kuwin crowd kubwa ya supporters...
Graça Machel Scholarships for Women
We are proud to offer Graça Machel Trust scholarships for Southern Africa's future women leaders.
The application process is the same as for Canon Collins Scholarships for Postgraduate study in South Africa.
For further information and to apply, please...
Sad pole sana mkuu, ila ninaomba ufanye hivyi kama unakumbuka duka ulilonunua mzigo na tarehe kuna watu wengi sana wanaenda Dubai andika barua ya kuelezea story yako tuma copy ya passport maana vitabu vya receipt vinacopy waombe wakupe certified copy ya hiyo copy, kuna wakati rafiki yangu...
Ninauhuru wa kuandika ninachotaka na una uhuru wa kuamini unachotaka ZK sijakutana naye barabarani ninafahamu alimaanisha nini alivyoandika alichoandika, sasa kama wewe umezoea kunywa uji mpaka watu watajane majina ndio unaelewa basi pole sana.
hao na Siasa zao za twitter, kama kweli wanalenga kukomboa mtanzania hawawezi kuwa wanacomplicate vitu vidogo, kuna mambo makubwa, watu hawana ajira, wakulima hawana dawa, watu hawajui hata sera za vyama vyao, badala ya wao kuelimisha jamii wanashinda kushambuliana twitter mnaboa wote wawil JM...
nyie wawili kama sio mtu mmoja, mnahitaji msaada wa haraka sana, mtu mwenye akili timamu hawezi kushabikia mauaji ya mtu mwingine hata kwa sababu yeyote ile, hivyi vifo vinasababisha ongezeko la watoto yatima, wajane na mengineyo mengi. Kumbuka wanaokufa katika hili wanatoka katika familia kama...
Tatizo la wasouth wamesahau kuwa ni waafrika ndio waliowasadia wakati wakiwa na matatizo na wazungu, leo wanawakumbatia wazungu wanapiga wale waliowasaidia.
"Shukrani Ya Punda Ni Mateke"
the-true-wash, kwanza unaonekana kichwa hakijatulia, ninashauri utafute kampuni mbili zinazofanya vizuri au mwelekeo mzuri, nunua hisa za million tano kila kampuni, halafu tulia ujichunguze nini unapendelea, fanya utafiti wa soko na kila kitu then uza hisa uanzishe ila sasa ukikurupuka, utarudi...
Ben Saanane, nakutakia mafanikio mema you are a great asset but I question myself if you have to be in that parliament now #whoAMI ?
"Be sure you put your feet in the right place, then stand firm."
Abraham Lincoln
Pasco Watu wengi wa mlengo wa kushoto taarifa zao mara nyingi zinatoka usiku. Ben ni wa mlengo wa kushoto.
Achilia mengine mengi, Ben ana uwezo mkubwa sana mara nyingi nikiangalia anachoandika huwa naona mwanaharakati mzuri kuliko alivyo mwanasiasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.