Njoo Halmashauri ya mji NANYAMBA, MKOA WA MTWARA nije wilaya ya KILOMBERO au WILAYA YOYOTE YA MKOA WA MOROGORO. Tuwasiliane 0716510219/0684229895 (IDARA YA SEKONDARI)
Mwanadamu hawezi kuingia mipango ya MUNGU, katika uchaguzi huu muumba wetu alipanga yatokee hayo, ingawa sisi hatukujua lakini ilikuwa mipango yake ya sirini. Kuna siku nilipata maono kuwa watakufa wanasiasa wanaogombea ubunge wapatao sita (6). Naamini Filikunjombe ametimiza idadi hiyo...
Nilizaliwa katika awamu ya pili ya uongozi wa muasisi wa nchi yetu. Nyerere amemaliza utawala wake mwaka 1985 nikiwa na uwezo wa kubaini baya na zuri. Utawaka wa awamu ya kwanza ulikuwa wa kizalendo. Chama cha mapinduzi kilikuwa kweli ni mali ya wakulima na wafanyakazi.
Awamu ya mzee A.H...
CCM ni dhaifu, imeshindwa kazi. Haitoi matumaini tena kwa Mtanzania mlalahoi. Angalia wanaoipigania kwa nguvu ni wale walionufaika na ufisadi wa CCM na wanapigana kufa na kupona ili makaburi yao yasifukuliwe.
Shime Mtanzania jitambue usiipe kura yako CCM kamwe kwani hata huyo Magufuli...
Ndugu wanaJf ninatamka kutoka moyoni mwangu, kwa sababu ya furaha nitakayokuwa nayo siku upinzani ukiingia ikulu, nitaomba ruhusa ya siku saba (7) kwa ajili ya kuusherehekea ushindi. Nitafanya hivyo kwa vile nina hamu kubwa isiyoelezeka ya mabadiliko. MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI UKAWA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.